Kikwete alimtuma Membe kwa Mwl Nyerere, Sehemu ya nne (4)

Jiwe anamchukia sana Ali Mufuruki, walisoma wote Lake Secondary alafu Ali akatusua vibaya sana, huku JIWE akiambulia scores za kwenda vocational training.

Sasa badala hata akili zimjie kwamba kumbe kufaulu au kufail masomo hasa haya secondary sio issue jamaa bado anayang'ang'ania, yanamuumiza kwelikweli. Yaani huwa najiuliza haamini kama yeye ndio Rais au nini?

Juzi alikuwa zambia akajifanya kuchomoa kuongea kiingereza, tena akamtolea maneno ya shombo mkalimani anamforce kuzungumza kichewa eti ndio rugha yao wanayoielewa. atafsiri kutoka kiswahili kwenda kichewa.

Dakika mbili hazikupita yeye mwenyewe akachomekea neno la kiingereza kwenye hotuba yake, nikasema iiiishi.
Ndio maana Mufuruki analetaga sana dharau kwa mzee baba kumbe anamfahamu nje ndani
 
Ha haaa. Nyani haoni kundu lako.
Safi sana mleta mada.

Jiwe kasamehe Trilion 424 tulizoibiwa na ACACIA kwenye madini yetu, pesa anbazo zingeweza kujenga SGR zaidi ya 10, na kupiga lami barabara za wilaya zote, kujenga Vyuo vya ufundi kila wilaya nchini na kujenga hospitali za rufaa za hadhi ya Muhimbili kila mkoa nchini na chenji nyingi tu ikabaki!

2020 Twende na Membe, Jasusi mwenye uchungu na nchi kama yeye hawezi kufanya kosa kama hilo!
 
Membe please stop running for presidency; support Magufuli, history will reward you.
 
Ndugu mleta mada, inaonyesha unamjua vizuri, na umepewa kazi ya kum publicize membe .

Kuna wengi wanao mjua membe na wanasema kuwa ni mtu anayependa sana kusema uongo na zaidi uongo wa majisifu. Jee hili lina ukweli
 
Mkuu;
Rais Nyerere hakumtuma ili kwenda kutafuta marafiki bali alimtuma ili kufanya kazi tena ya SIRI bila mtuhumiwa/watuhumiwa kujua. Hii siyo kazi kama mtu anayenda kutafuta wateja wa biashara!

Kwa nini unadhani Membe hakuanzisha urafiki wa karibu pia na upande wa pili (Mkuu wa chuo)? Kwa nini wakawa marafiki wa karibu baada tu ya Membe kurudi Dar es Salaam?

Jaribu kuangalia hili suala kwa upana zaidi na sio kujikita kwenye dhumuni la mada pekee!

Kitendo hiki alichokifanya Membe alipaswa kuchukuliwa hatua za kinidhani kwa kosa la code of ethics.
Kumbuka urafiki haukuwapo kabla au wakati wa upelelezi bali ulikuja baadaye. Sidhani kama kuna kosa hapa kwa sababu kama "hukumu" tayari ilishatoka.
 
Mkuu;
Rais Nyerere hakumtuma ili kwenda kutafuta marafiki bali alimtuma ili kufanya kazi tena ya SIRI bila mtuhumiwa/watuhumiwa kujua. Hii siyo kazi kama mtu anayenda kutafuta wateja wa biashara!

Kwa nini unadhani Membe hakuanzisha urafiki wa karibu pia na upande wa pili (Mkuu wa chuo)? Kwa nini wakawa marafiki wa karibu baada tu ya Membe kurudi Dar es Salaam?

Jaribu kuangalia hili suala kwa upana zaidi na sio kujikita kwenye dhumuni la mada pekee!

Kitendo hiki alichokifanya Membe alipaswa kuchukuliwa hatua za kinidhani kwa kosa la code of ethics.
Kumbuka urafiki haukuwapo kabla au wakati wa upelelezi bali ulikuja baadaye. Sidhani kama kuna kosa hapa kwa sababu kama "hukumu" tayari ilishatoka.
 
Hivi wewe kila kitu lazima uandike hata kama ni pumba
Umeandika, ''Na huu ndio ukawa mwanzo mkuu wa mahusiano ya karibu kati ya Jakaya Mrisho Kikwete na Bernard Kamilius Membe na mawasiliano baina yao yakawa makubwa sana hata baada ya Bernard Kamilius Membe kurejea Dar es salaam''.

Kama ulichokiandika ni kweli basi hii paragraph yako pamoja na kwanza umeandika ili kuonyesha ukaribu wa Mzee Kikwete na Bernard Membe ulivyoanza lakini ambacho umekiibua kinaonyesha kazi aliyoifanya Membe ilikuwa na dosari kwa sababu huwezi kwenda kutafuta ukweli kwa mshukiwa wa jambo fulani halafu hapo hapo mkaanza urafiki wa kudumu. Hili ni kosa kubwa katika kazi za upelelezi (prefessional ethics).

Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa alichofanya Membe ni kwenda kumueleza/kumtonya Mzee Kikwete kilichofanyika nyuma yake na nani alichokifanya dhidi yake. Kwa maana nyingine hakwenda kutafuta ukweli bali alienda ''kumtonya'' kinachoendelea na awe makini ndio maana wakawa ''marafiki wa karibu'' baada ya ulichokisema Membe kuandika repoti chanya kwa upande wa Kikwete!

Makosa kama haya aliyofanya Membe ya kujenga urafiki wa kudumu na mtuhumiwa ambaye hakupaswa hata ajue unafanya nini yanaonekana ni madogo lakini kwenye fani ya usalama ni makosa makubwa sana ambayo yanamwondolea sifa ya kuwa mwajiriwa wa kitengo cha usalama!

Unanikumbusha tukio moja nchini uingereza ambao mpelelezi alitumwa kwenda kumpeleleza mama mmoja lakini wakati anafanya kazi hiyo wakawa marafiki wa karibu mpaka wakawa wanafanya mapenzi. Baadaye alimaliza kazi yake ya kumpeleleza na kukabidhi kwa maofisa waliomtuma. Yule mama baadaye alikamatwa na kupelekwa mahakamani lakini kesi ilipoanza ikagundulika kuwa alichikifanya ni kinyume cha maadili ya kazi na kesi ikatupiliwa mbali.

Baada ya wakuu wake wa kazi kugundua mahakamani mfanyakazi wao (mpelelezi)) alikuwa anafanya mpaka mapenzi na mtuhumiwa, waliamua kumfukuza kazi kwa sababu alichokifanya ni kinyume na misingi ya kazi (code of ethics).
 
Mkuu;
Rais Nyerere hakumtuma ili kwenda kutafuta marafiki bali alimtuma ili kufanya kazi tena ya SIRI bila mtuhumiwa/watuhumiwa kujua. Hii siyo kazi kama mtu anayenda kutafuta wateja wa biashara!

Kwa nini unadhani Membe hakuanzisha urafiki wa karibu pia na upande wa pili (Mkuu wa chuo)? Kwa nini wakawa marafiki wa karibu baada tu ya Membe kurudi Dar es Salaam?

Jaribu kuangalia hili suala kwa upana zaidi na sio kujikita kwenye dhumuni la mada pekee!

Kitendo hiki alichokifanya Membe alipaswa kuchukuliwa hatua za kinidhani kwa kosa la code of ethics.
Report ya Membe ilipaswa kukatiwa pia, maana ilikuwa na kitu kinaitwa "conflict of interest"!
 
Siwezi kushangaa weledi wa Membe, jamaa ni kichwa sana.

Alipiga first class kwenye digrii yake ya kwanza chuo kikuu Mlimani, akapewa nafasi ya kubaki chuo kikuu ili awe Mwanataaluma lakini akachagua kupiga kazi ya Usalama wa Taifa

Twende na Membe 2020, amepikwa kiuongozi akapikika
Hivi Membe anayo PhD au hana? Kama hana atumie muda huu kuipata, baada ya kuangaikia urais ambao hawezi kuupata kamwe.
 
Umeandika, ''Na huu ndio ukawa mwanzo mkuu wa mahusiano ya karibu kati ya Jakaya Mrisho Kikwete na Bernard Kamilius Membe na mawasiliano baina yao yakawa makubwa sana hata baada ya Bernard Kamilius Membe kurejea Dar es salaam''.

Kama ulichokiandika ni kweli basi hii paragraph yako pamoja na kwanza umeandika ili kuonyesha ukaribu wa Mzee Kikwete na Bernard Membe ulivyoanza lakini ambacho umekiibua kinaonyesha kazi aliyoifanya Membe ilikuwa na dosari kwa sababu huwezi kwenda kutafuta ukweli kwa mshukiwa wa jambo fulani halafu hapo hapo mkaanza urafiki wa kudumu. Hili ni kosa kubwa katika kazi za upelelezi (prefessional ethics).

Ukiangalia kwa undani utagundua kuwa alichofanya Membe ni kwenda kumueleza/kumtonya Mzee Kikwete kilichofanyika nyuma yake na nani alichokifanya dhidi yake. Kwa maana nyingine hakwenda kutafuta ukweli bali alienda ''kumtonya'' kinachoendelea na awe makini ndio maana wakawa ''marafiki wa karibu'' baada ya ulichokisema Membe kuandika repoti chanya kwa upande wa Kikwete!

Makosa kama haya aliyofanya Membe ya kujenga urafiki wa kudumu na mtuhumiwa ambaye hakupaswa hata ajue unafanya nini yanaonekana ni madogo lakini kwenye fani ya usalama ni makosa makubwa sana ambayo yanamwondolea sifa ya kuwa mwajiriwa wa kitengo cha usalama!

Unanikumbusha tukio moja nchini uingereza ambao mpelelezi alitumwa kwenda kumpeleleza mama mmoja lakini wakati anafanya kazi hiyo wakawa marafiki wa karibu mpaka wakawa wanafanya mapenzi. Baadaye alimaliza kazi yake ya kumpeleleza na kukabidhi kwa maofisa waliomtuma. Yule mama baadaye alikamatwa na kupelekwa mahakamani lakini kesi ilipoanza ikagundulika kuwa alichikifanya ni kinyume cha maadili ya kazi na kesi ikatupiliwa mbali.

Baada ya wakuu wake wa kazi kugundua mahakamani mfanyakazi wao (mpelelezi)) alikuwa anafanya mpaka mapenzi na mtuhumiwa, waliamua kumfukuza kazi kwa sababu alichokifanya ni kinyume na misingi ya kazi (code of ethics).
wewe jamaa BHANA ficha upuuzi wako basi ata kidogo tu
 
Membe tuelezee mi napenda stories kama hizi.ni nzuri na sina shida nazo.ILA URAIS SAHAU NDUGU YANGU.SAHAU KABISA MEMBE.HILO HALITATOKEA. ENDELEA KUTUPA STORIES NDUGU YETU MEMBE. MI NAJUA WEWE NI MEMBE NA UNA IDs nyingine 3 humu.
wewe kabishane na DENIS MEMBE mtoto wa mwisho wa Bernard anaetegemea kufanya mtihani wa kidato cha 4 mwaka huu
 
Siwezi kushangaa weledi wa Membe, jamaa ni kichwa sana.

Alipiga first class kwenye digrii yake ya kwanza chuo kikuu Mlimani, akapewa nafasi ya kubaki chuo kikuu ili awe Mwanataaluma lakini akachagua kupiga kazi ya Usalama wa Taifa

Twende na Membe 2020, amepikwa kiuongozi akapikika
kuna kazi sio za kukurupuka mimi kama membe nimejipanga kuwa rais .


2020 KAZI NA BATA
 
Mwandishi sio Bernard Membe, ila ni mtu ambaye anamfahamu Membe au walifanyakazi pamoja. Kwasababu angekuwa ni Membe ndio mwandishi basi hizi habari za Monduli ambazo ni kweli, angeziweka vizuri sana na pia kuna mambo ambayo mwandishi hayajui vizuri
huyu ni denis mtoto wa mwisho wa benard membe anaesoma kidato cha 4
 
Hivi JPM Olevel,Alevel,degree,masters,PHD alikua anachomoa kwa makarai tu.
Sababu anapendaga sana kuzungumzia mambo ya masomo yake.

majuzi wakati anamuonea yule mkurugenzi mmarekani kwenye hadhara nilimsikia anamuambia jamaa "UNAJUA NILICHUKUA HESABU"

Nikazidi kuamini kwamba historia ya masomo ya jamaa inashida. yaani anatishia watu kuchukua hesabu.
wakati hesabu hata mimi nimechukua
 
Ila hii habari ya Monduli awali tuliletewa hapa JF tofauti.
Ilisemekana kuwa JK akiwa kamisaa wa siasa aliona ufisadi wa mkuu wa chuo kama sikosei Sayore kuhusu tenda ya kuilisha kambi (chuo) nyama na maziwa. Na Brigedia Sayore alikuwa anaogopwa sana. Akaandika barua kwa Amiri jeshi na mwenyekiti/Rais wa TANU.
Mwalimu alipoisoma akampa CDF na kumwambia mkamalize huko kwenu.
CDF akampa mkuu huyo wa chuo barua hiyo.
Jamaa akaisoma kisha akaitoa kopi za kutosha na kuita kikao cha menejimenti ya chuo kuanzia Adjutant hadi wakufunzi, akawauliza kuna tatizo lolote hapa Monduli? Wakajibu (akiwemo JK) hakuna. Baada ya kuuliza Mara kadhaa akagawa copies za barua ya JK nakusema nawapa nusu SAA muisome kisha nikirudi muliambie hii ni nini na akatoka. Kila MTU anamjua Sayore wakaona huo moto atakaorudi nao ni Shetani tuu anajua.
JK akajifanya anaenda toilet, na huko akageuka Kipchoge kuelekea Arusha to DSM na begi la nguo lilimfuata.
Sasa story hii ndio ilikuwa hapa JF na kujadiliwa sana, Leo tunaletewa tofauti. Tupewe ufafanuzi ukweli wa historia ya Monduli ni upi?
akageuka nani?
 
Nami naongezea tu
JK kumpa uwaziri Membe ilikuwa kulipa fadhila pia kumbeba aje kuwa Rais 2015 ilikuwa bado akilipa fadhila kwa Membe, kwa maana nyingine hii ni rushwa
rushwa ni zile chumvi na sukari wanazogawa CCM
 
Back
Top Bottom