technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Jamani tuwe wakweli hivi lowassa kwa sasa ni asset au liability
Lowasaa ni mzigo na time will tell!!!
Lowasaa ni mzigo na time will tell!!!
Unauliza? unajibu? sasa kama time haijatell unaconclude vipi?Jamani tuwe wakweli hivi lowassa kwa sasa ni asset au liability
Lowasaa ni mzigo na time will tell!!!
Hawawezi kuhudhuria washroom aka maliwatoniHivi hapa JF bila kuleta uzi wenye neno Lowassa au UKAWA au CHADEMA ni kwamba hapanogi?
Hivi hapa JF bila kuleta uzi wenye neno Lowassa au UKAWA au CHADEMA ni kwamba hapanogi?
Unaambiwa hayo majina ndio yanauza au ni habari ya mjini isiyochujaWakileta uzi bila majina hayo hawalipwi ile buku 7 yao.
Tuwe wakweli dalili zinaonyesha ni mzigo kwa sasaUnauliza? unajibu? sasa kama time haijatell unaconclude vipi?
Jf lowasa na magu uzi wao na ukwaka na ccm ndo hunogeza jf inatakiwa kila dk 2 mwenye uzi sahihi atuleteeHivi hapa JF bila kuleta uzi wenye neno Lowassa au UKAWA au CHADEMA ni kwamba hapanogi?
Ndo niniHawawezi kuhudhuria washroom aka maliwatoni
Usihitimishe kwa dalili MkuuTuwe wakweli dalili zinaonyesha ni mzigo kwa sasa
Hivi hapa JF bila kuleta uzi wenye neno Lowassa au UKAWA au CHADEMA ni kwamba hapanogi?
Nimziko kwasababu kila anachofanya anaona yupo sahiiFafanua angekuwa mzigo kivipi. Just kusema angekuwa mzigo wenye kuangalia critically hawselewi wakufuatilie kutoka angle gani. Nijuavyo Jk alilazimishwa kufikia kilichotokea huko Dodoma. Haikuwa plan yake. Alilazimishwa na familia nafasi hiyo aichukue Membe. Na kwa kuwa kuna wengi walikuwa wanamtaka Lowassa, kwa hasira akaamua Lowassa na Membe potelea mbali wote wakose.
Kwani Lowassa anawazuia kuongoza nchi ?! Awe mzigo au asset timizeni wajibu wenuJamani tuwe wakweli hivi lowassa kwa sasa ni asset au liability
Lowasaa ni mzigo na time will tell!!!
Wakileta uzi bila majina hayo hawalipwi ile buku 7 yao.
Kuleta uzi Bila jina la CCM, JK, JPM je hapanogi zaidHivi hapa JF bila kuleta uzi wenye neno Lowassa au UKAWA au CHADEMA ni kwamba hapanogi?