Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA

Msema hovyo

Senior Member
Jul 3, 2011
195
86
Taarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba mkakati kabambe ulishaandaliwa na mafisadi wa CCM (Rostam na Lowassa) kuhakikisha kwamba Kikwete anashinda Urais kupitia CHADEMA. Mkapa alinusa hilo, ndiyo maana aliamua kumuacha Kikwete apite hata kama target yake ilikuwa ni Salim A Salim

Inasemekana pia, kwamba Mheshimiwa Mbowe alikuwa well informed kuhusu hilo, na alikuwa anasubiri tu maamuzi ya NEC ya CCM, ndipo aamue nani awe mgombea Urais kupitia CHADEMA. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba baada ya Rostam kujiuzulu, mafisadi wengine pia kama Lowassa na Chenge watajiuzulu, na watajitahidi kutumia vyombo vya habari na pesa kujisafisha kutoka sasa hadi hapo 2014 ambapo watahamia rasmi CHADEMA. Maamuzi ya ama kuwa CHADEMA au chama kingine yatategemea pia mtizamo wa akina Mbowe na Slaa ambao wanaonekana kuwa ni threat kwa hao mapacha watatu.

Binafsi ninaungana na Lowassa kuhamia CHADEMA, nina imani kwa kufanya hivyo atawezesha upinzani kushika dola kama ambavyo aliamini angemuwezesha Kikwete kushika dola kupitia CHADEMA. Tena kwa kuwa atakuwa ana kisilani na CCM Lowassa akiingia madarakani kupitia CHADEMA atahakikisha anawashughulikia wale wafujaji wa mali za umma wote waliopo CCM akiwemo na Kikwete, na kujitahidi kufanya vema zaidi katika uongozi wake ili kuwaonyesha CCM kwamba yeye si kama wao.

Zaidi ya yote mimi ninamuona Lowassa kama ni strong leader, akishika nafasi ya Urais atafanya vema. Nawaombeni CHADEMA mpokeeni Lowassa.

Lakini msiniulize source, sawa!!?

Nawasilisha.
 
Lini umepimwa akili yako una kichaa kwa tathmini ya haraka unahitaji kuwa chini ya uangalizi maalum kwa babu Samunge
 
Mkuu ndani ya post yako kuna hoja. Hilo la kuhamia CHADEMA mwaka 2005 ni kweli lilivuma sana na ilikuwa CCM imegeke mapande mapande kama JK asingepitishwa!

Mengine no comment
 
kwahiyo kumbe cdm si kwamba inapinga ufisadi ila wanachotaka wao ni kukamata dola tu? huu uchu wa madaraka ndiyo unaoimaliza nchi hii.
 
Ndoto nyingine aisee. haiwezi kutokea hii, na wala hakuna yeyote mwenye hilo wazo kati ya hao uliowataja
 
Taarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba mkakati kabambe ulishaandaliwa na mafisadi wa CCM (Rostam na Lowassa) kuhakikisha kwamba Kikwete anashinda Urais kupitia CHADEMA. Mkapa alinusa hilo, ndiyo maana aliamua kumuacha Kikwete apite hata kama target yake ilikuwa ni Salim A Salim

Inasemekana pia, kwamba Mheshimiwa Mbowe alikuwa well informed kuhusu hilo, na alikuwa anasubiri tu maamuzi ya NEC ya CCM, ndipo aamue nani awe mgombea Urais kupitia CHADEMA. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba baada ya Rostam kujiuzulu, mafisadi wengine pia kama Lowassa na Chenge watajiuzulu, na watajitahidi kutumia vyombo vya habari na pesa kujisafisha kutoka sasa hadi hapo 2014 ambapo watahamia rasmi CHADEMA. Maamuzi ya ama kuwa CHADEMA au chama kingine yatategemea pia mtizamo wa akina Mbowe na Slaa ambao wanaonekana kuwa ni threat kwa hao mapacha watatu.

Binafsi ninaungana na Lowassa kuhamia CHADEMA, nina imani kwa kufanya hivyo atawezesha upinzani kushika dola kama ambavyo aliamini angemuwezesha Kikwete kushika dola kupitia CHADEMA. Tena kwa kuwa atakuwa ana kisilani na CCM Lowassa akiingia madarakani kupitia CHADEMA atahakikisha anawashughulikia wale wafujaji wa mali za umma wote waliopo CCM akiwemo na Kikwete, na kujitahidi kufanya vema zaidi katika uongozi wake ili kuwaonyesha CCM kwamba yeye si kama wao.

Zaidi ya yote mimi ninamuona Lowassa kama ni strong leader, akishika nafasi ya Urais atafanya vema. Nawaombeni CHADEMA mpokeeni Lowassa.

Lakini msiniulize source, sawa!!?

Nawasilisha.

Endelea kuwasilisha ndugu yangu....
 
kwahiyo kumbe cdm si kwamba inapinga ufisadi ila wanachotaka wao ni kukamata dola tu? huu uchu wa madaraka ndiyo unaoimaliza nchi hii.
Ambacho huelewi ni nini!?
Ufisadi ni system na si mtu! ccm wanaruhusu ufisadi na ndo maana unaona mpaka kwenye chama mambo yoote yanafanyika kifisadifisadi tuu!
Chadema wanataka waondoe mfumu huu wa ufisadi ili kila mtu aweze kuongoza nchi safi but ccm wameshindwa!
Na ndo maana solution ya kuchakachua mafuta kwao nikupandisha bei ya mafuta ya taa!
Sasa watu wenye mawazo hayo na miupara yao huu ni ufisadi na MFUMO unawafanya hivyo,
njoo kwenye mambo ya ujenzi wa serikali kila kitu ni Ufisadi hata kama ccm wakiamua kufukuza basi watakwisha woote
TUSHILIKIANE KONDOA MFUMO HUU MBOVU WA UFISADI NA SI KUNYONGA WATU EETI NDO TUNAUKIMBIA UFISADI!
 
Itabaki tetesi.Lakini kama unavyodai ni kweli,je ingetokea Kikwete akahamia chadema na ccm wakamsimamisha Salim,wewe unadhani Kikwete angeshinda?Kuhusu Lowasa na kundi lake kuhamia chadema au kuanzisha chama kipya cha upinzani kuelekea uchaguzi wa 2015,naona ni habari njema tu!
 
Kama ufisadi ungekuwa mfumo na siyo mtu kama unavyodai,,,,sidhani kama hao wangeitwa mafisadi. Bahati mbay....ndivyo wanavyoitwawakiwa kama watu
 
Taarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba mkakati kabambe ulishaandaliwa na mafisadi wa CCM (Rostam na Lowassa) kuhakikisha kwamba Kikwete anashinda Urais kupitia CHADEMA. Mkapa alinusa hilo, ndiyo maana aliamua kumuacha Kikwete apite hata kama target yake ilikuwa ni Salim A Salim

Inasemekana pia, kwamba Mheshimiwa Mbowe alikuwa well informed kuhusu hilo, na alikuwa anasubiri tu maamuzi ya NEC ya CCM, ndipo aamue nani awe mgombea Urais kupitia CHADEMA. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba baada ya Rostam kujiuzulu, mafisadi wengine pia kama Lowassa na Chenge watajiuzulu, na watajitahidi kutumia vyombo vya habari na pesa kujisafisha kutoka sasa hadi hapo 2014 ambapo watahamia rasmi CHADEMA. Maamuzi ya ama kuwa CHADEMA au chama kingine yatategemea pia mtizamo wa akina Mbowe na Slaa ambao wanaonekana kuwa ni threat kwa hao mapacha watatu.

Binafsi ninaungana na Lowassa kuhamia CHADEMA, nina imani kwa kufanya hivyo atawezesha upinzani kushika dola kama ambavyo aliamini angemuwezesha Kikwete kushika dola kupitia CHADEMA. Tena kwa kuwa atakuwa ana kisilani na CCM Lowassa akiingia madarakani kupitia CHADEMA atahakikisha anawashughulikia wale wafujaji wa mali za umma wote waliopo CCM akiwemo na Kikwete, na kujitahidi kufanya vema zaidi katika uongozi wake ili kuwaonyesha CCM kwamba yeye si kama wao.

Zaidi ya yote mimi ninamuona Lowassa kama ni strong leader, akishika nafasi ya Urais atafanya vema. Nawaombeni CHADEMA mpokeeni Lowassa.

Lakini msiniulize source, sawa!!?

Nawasilisha.

Kwenye red, sio sahihi kwa CDM kupokea magamba kutoka CCM. Lowasa hafai tena na fikra kwamba waliobaki wote kama milioni arobani hakuna kiongozi wa kufaa CDM bali Lowasa ni mawazo mgando. Bora kutoshika dola kuliko kushika dola na viongozi makanjanja.

Kwenye blue, unatoa hilo ombi wewe ukiwa wapi? CCM au CCJ? Kwa statement yako wewe sio CDM sasa nashindwa kuelewa kivipi unaitakia CDM mema? Nafikiri ni kinyume chake.
 
Taarifa za ndani, zinapasha kwamba katika harakati za uchaguzi wa Rais za mwaka 2005, Kikwete alijiandaa kuhamia CHADEMA iwapo NEC ya CCM isingempitisha kugombea Urais. Na inasemekana kwamba mkakati kabambe ulishaandaliwa na mafisadi wa CCM (Rostam na Lowassa) kuhakikisha kwamba Kikwete anashinda Urais kupitia CHADEMA. Mkapa alinusa hilo, ndiyo maana aliamua kumuacha Kikwete apite hata kama target yake ilikuwa ni Salim A Salim

Inasemekana pia, kwamba Mheshimiwa Mbowe alikuwa well informed kuhusu hilo, na alikuwa anasubiri tu maamuzi ya NEC ya CCM, ndipo aamue nani awe mgombea Urais kupitia CHADEMA. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba baada ya Rostam kujiuzulu, mafisadi wengine pia kama Lowassa na Chenge watajiuzulu, na watajitahidi kutumia vyombo vya habari na pesa kujisafisha kutoka sasa hadi hapo 2014 ambapo watahamia rasmi CHADEMA. Maamuzi ya ama kuwa CHADEMA au chama kingine yatategemea pia mtizamo wa akina Mbowe na Slaa ambao wanaonekana kuwa ni threat kwa hao mapacha watatu.

Binafsi ninaungana na Lowassa kuhamia CHADEMA, nina imani kwa kufanya hivyo atawezesha upinzani kushika dola kama ambavyo aliamini angemuwezesha Kikwete kushika dola kupitia CHADEMA. Tena kwa kuwa atakuwa ana kisilani na CCM Lowassa akiingia madarakani kupitia CHADEMA atahakikisha anawashughulikia wale wafujaji wa mali za umma wote waliopo CCM akiwemo na Kikwete, na kujitahidi kufanya vema zaidi katika uongozi wake ili kuwaonyesha CCM kwamba yeye si kama wao.

Zaidi ya yote mimi ninamuona Lowassa kama ni strong leader, akishika nafasi ya Urais atafanya vema. Nawaombeni CHADEMA mpokeeni Lowassa.

Lakini msiniulize source, sawa!!?

Nawasilisha.
WEWE hatutaki uchafu. Tumpeleke wapi Doctor wa UKWELI!???
 
na chadema walitanguliziwa bilioni tatu na wanamtandao
na hiyo ni open secret
but wanachama wengi hawajui
 
Back
Top Bottom