Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Hakuna mwenye ubavu wa kufanya kitu ya namna hiyo. Ni upepo tu, utapita.
na mimi hapo nimekuwa nazungumzia katiba ya jamhuri ya muungano ya tanzania ya mwaka 1977 haihusishi chama chochote! "Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais waNashukuru Mkuu wa ilmu ya Katiba, ila sijawahi kuongea kama mlevi katika kutoa maoni yangu, nadhani kuna nchi jirani yetu(sitaki kuitaja kwasasa) kuna kiongozi baada ya kuchaguliwa akavunja chama chake kutokana na kashfa za rushwa, any way, Katiba yao ni tofauti na yetu inawezekana, Ila haya yote yanawezekana, KATIBA muhimu ni ya nchi na siyo ya vyama.
kama ilivyotokea kwa Mikhail Gorbachev, aliyekuwa rais wa RUSSIA mwaka 1991.
Ni kweli kiongozi nakubaliana na wewe, vipandevipande baada ya M. Gorbachev nikivitaja utashangaa sana....naomba niishie hapo hapo.Mkuu, je URUSI ulikuwa katika hali gani baada ya kumuondoa Mikhail Gorbachev madarakati unceremoniously?? utawala ndani ya Kremlin ukawa unaendeshwa na remote controls za "RUSSIAN OLIGARCHS" tusipokuwa makini na kutumia busara basi Taifa letu litajikuta linaelekea huko huko - mimi sio mtume au nabii ninacho fanya niku-compare na ku-contrast matukio yaliyo wahi kuyakumba mataifa mengine!!!
Na wewe unaamini Lowassa anaweza fanya huu ni upuuzi wa KINA Riz, Nape, Makonda et al, chini ya ushauri wa Cyprian Majura Musiba.. Majura utaiua CCM kwa njaa zenu, Makonda kubalini 3-0, subiri ni NAFASI za kuteuliwa hamchaguliki
Ningekuwa mimi JK, wakishanichagua tu, navunja chama naanzisha chama kingine na kuwatosa hao wote, na kukifuta kabisa hicho chma kinachotaka kufanya uhaini ambao hatujawahi kuusikia hapa Tanzania tangu enzi za TAA
na mimi hapo nimekuwa nazungumzia katiba ya jamhuri ya muungano ya tanzania ya mwaka 1977 haihusishi chama chochote! "Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa
kodi yoyote ya Serikali.
cHaDeMa.......
enyi mnaojiita wapinzani acheni siasa chafu hizi.
Hivi nani asiyejua kuwa huo nimpango wenu wakuyumbisha chama tawala CCM
USHAULI KWA NYINYI UPINZANI UCHWALA
Shughulikeni na mambo ya chama chenu ambacho kwaundani zaidi ni taasisi tu.
Hivi akikataliwa kweli itakuwaje? Sijui mpaka sasa anajisikiaje? Bado ana nguvu ya kuhutubia mkutano? Je atawaambia tena wahame? Au ni upepo tu utapita?
umeongea vizuri mkuu.mimi nasema tusipokuwa makini kwa jinsi mambo yanavyoenda kwa ujumla tutajuta mbele ya safari.Kwa mara ya kwanza nimesikitishwa sana na baadhi ya wanachama ambao wamepania kumdhalilisha Mh.Jakaya, hili si jambo jema hata kidogo, Raisi wa nchi anapaswa kuheshimiwa, hata kama kuna tatizo lolote kwa nini wasilimalize ndani kwa ndani kuliko kuonyesha dharau zilizo kithili. Kama tatizo ni Uraisi wa 2015, whoever is behind this scum ni mtu wa kuogopwa kama ukoma, hatuhitaji vurugu katika TAIFA letu - mtu ambaye anapania kupata URAISI come rain or shine si binadamu wa KAWAIDA hata kidogo.
"Ni kundi la wahuni wachache tu ambao mioyo yao haipo CCM" by Nnauye!
hivi mfano wewe unaongoza watu elfu kumi kwenye taasisi.halafu wakatokea watu watano wakaandika vipeperushi kushawishi ukataliwe,ni sahihi ku conclude kwamba wana taasisi hawakutaki kitaalamu?je! kuna mtu anayekubalika kwa watu wote?je! unadhani kikwete angetakiwa akubalike kwa watu wote?Mkuu, fahamu tu kuwa uwepo wa vipepeushi hivyo ni ishara tosha kuwa amekataliwa na wanachama wa CCM, jambo zuri kwake ni kuachia hiyo nafasi ya mwenyekiti wa CCM Taifa, as I believe nothing will change AS he will remain the head of the state
Jamani mr.dhaifu namuonea huruma.
sio kwamba mtu mwema ndo hapendwi na waovu.mfano anaetete haki hapendwi na wanaotaka kudhulumu!au ni kinyumw chake?Nikawaida mwovu kulipwa uovu