Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amejisafisha kuwa si mmliki wala hawalindi marafiki zake katika sakata la DOWANS. Ameeleza kila kitu kuhusu mchakato wa Richmond hadi Dowans. Aisee naona sasa jamaa ameshutuka amefafanua mpaka basi, ameweka bayana Richmond ni kampuni ya mfukoni na kugusia maamuzi ya CC ya CCM.
Walioona taarifa hiyo jamani tuijadili kidogo.
Source TBC1 Time 02:19
Last edited by a moderator: