Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
Rais Kikwete akiongea na wananchi baada ya kukagua shamba la mihogo katika kijiji cha Nawale wilayani Nanyumbu.
my takek kakagua shamba la mihogo.. je mvua isiponyesha na mihogo si itakufa? au atageuka mawingu ghafla mvua inyeshe?
swala la umeme vipi? anangojea mvua?