Kikwete aenda kukagua shamba la mihogo

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
GO9G8193.JPG

Rais Kikwete akiongea na wananchi baada ya kukagua shamba la mihogo katika kijiji cha Nawale wilayani Nanyumbu.
my take:eek:k kakagua shamba la mihogo.. je mvua isiponyesha na mihogo si itakufa? au atageuka mawingu ghafla mvua inyeshe?
swala la umeme vipi? anangojea mvua?
 
hahahaha na zaidi anafanya mambo ya wale wa chini yake ambao walipaswa wafanye
 
Ni raisi wa wote, hana upendeleo, habagui wakulima! Wote kwake wana haki sawa
 
Anatafuta support ya wananchi wa vijijini baada ya kuona mjini wameshamshtukia kuwa ni kilaza...... Kazi anayo muhula huu, atakagua mpaka visivyokagulika. Alikuwa anafikiria uongozi ni kuchekacheka tu!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom