Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Kuna News ya Uhakika kuwa Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Bw.Majjid Mwanga kaachia kazi ya U DC na inasemakana atakayeshika hiyo nafasi ni DC wa Korogwe Bwana Mrisho Gambo...
U DC ni kazi ya kugombanishwa na watu kila siku na hii ni sababu ya mfumo wetu wa kulindana sana hadi mizizi imeota kwa kila idara ya serikali viongozi hawajali kitu hata wakizembea wanalindwa tu sasa hata akiwekwa kiongozi mtiifu naye ataonekana mbaya tu...
LE MUTUZ nenda kaombe nafasi ya upendeleo kwani mambo ya kuchaguliwa huyawezi
U DC ni kazi ya kugombanishwa na watu kila siku na hii ni sababu ya mfumo wetu wa kulindana sana hadi mizizi imeota kwa kila idara ya serikali viongozi hawajali kitu hata wakizembea wanalindwa tu sasa hata akiwekwa kiongozi mtiifu naye ataonekana mbaya tu...
LE MUTUZ nenda kaombe nafasi ya upendeleo kwani mambo ya kuchaguliwa huyawezi