Kened haujielewi dc yupo hija
mrisho gambo si ndo yule aliyesema mwanasheria wa wilaya (korogwe) ana degree ya pichu??
Siamini hii habari si kweli, kwani mkuu wa wilaya ana kazi gani mpaka mtu aachie pesa za bure,gari ya bure, nyumba ya bure na miposho ya bure?