Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

That's correct.

Your record is clear that; almost a year ago, you went on record urging the Govt to buy Dowans power generation machines (whatever the name). For you, it was an emergence then (at is still an emergence now).

A whole year of emergence in making.

Great, na wewe ulifanya nini then na sasa kama Mtanzania kijana kama Mh Zitto.
 
Great, na wewe ulifanya nini then na sasa kama Mtanzania kijana kama Mh Zitto.

Kitu kimoja naona unataka kusahau hapa (au labda unajaribu kuonesha kuwa hukioni) ni kuwa - Zitto ni mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Analipwa mamilioni ya pesa za walala hoi wa kitanzania ili awafanyie kazi kwenye mojawapo wa chombo muhimu sana katika uongozi na uendeshaji wa nchi.
 
Badala ya kujibu swali wewe nawe unauliza swali.

Jibu swali kwanza ili uwe kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuuliza swali pia. Narudia swali langu.

-- kama kazi zote za utendaji wa serikali zinafanya (au zinatakiwa kufanywa) na wasaidizi wa raisi, kazi ya raisi ni ipi?

Kusimamia wasaidizi wake kulingana na majukumu waliyonayo.
 
Mitambo ya IPTL ikiwashwa je, mgao wa umeme utakuwa haupo tena?
Kama sikosei taarifa zinasema kuna upungufu wa Megawati 150. IPTL wakizalisha hizo 100MW halafu Songas wakiwasha huo mtambo unaofanyiwa matengenezo wa 20MW zitakuwa zimebaki MEGAWATI 30.

Vipi kuhusu hizi 30MW itakuwaje? Je, watazifidia vipi ili mgao usiwepo kabisa?

Kuna lile pendekezo la pili la Zitto -

kutaifisha (kununua kwa mlango wa nyuma) Dowans AKA richmond.
 
Aibu sana nchi imejaza bilions of cubic gases inayoweza kumaliza matatizo yote ya umeme nchi yetu,issue ni kununua generator tuu za gas lakini cha ajabu serikali ya talebani imeshindwa kufanya hivyo wakaishia kupeana mikataba ya 10% na kiongozi wao hajui nani kachukua au katoa hiyo 10% anabaki kupiga kiswahili tuu na sasa umeme hatuna,then wanatumia hard earned dollar kununua mafuta ya mwarabu kuwasha umeme wa siku mbili huku gas imejaa kibao..aibu sana,next time vote out CCM au bora upigie kura kivuri tuu,hii ni sababu tosha ya kuwatimua CCM!
 
Kuna lile pendekezo la pili la Zitto -

kutaifisha (kununua kwa mlango wa nyuma) Dowans AKA richmond.

Solomon,

Tuongelee maswala ya mgao wa umeme/umeme kwa ujumla tumuweke Zitto pembeni kidogo, au kama vipi nenda kwenye thread yake hapo chini.
 
Wakulu, kisheria hiyo mitambo ya IPTL kama inawashwa 'hovyohovyo' nikimaanisha in a reactive way bila kucheki mambo ya kisheria, hatutaishia kulipa tena hela za ajabu ajabu? kwa nini ilizimwa in the first place?

Jingine, kama inawezekena kuimuru IPTL iwashe mitambo yake, hiyo ya Dowans kinashindikana kitu gani na nimesikia ni 'ya kuwashwa tu'?
 
Solomon,

Tuongelee maswala ya mgao wa umeme/umeme kwa ujumla tumuweke Zitto pembeni kidogo, au kama vipi nenda kwenye thread yake hapo chini.

Mkuu vipi tena?

hayo mambo ya kusifiana mmeyaanza nyie. Mimi niliona mdundiko unapita nikajiunga. Sasa joto limewaka unataka tena kunigeuzia kibao kuwa mimi ndiye nimeanzisha ngoma?

Kaanze mwanzo wa hii thread uone aliyeanzisha habari za Zitto kwenye hii thread labda utabadili ulichoandika hapo juu.
 
Siwezi kukujibu kwa sasa kwanza hapa nilipo umeme haujaja mpaka saa tano. Natumia cm ambayo charge inakwisha. Kulumbana na wewe ofcoz ni waste of time

As if I care.

Iwe ni waste of time or charge yako ya cm hayo ni matatizo yako mwenyewe huko uliko. Ukiingia hapa JF utakumbana na debates kama hizi maana hii si mazungumzo baada ya habari.

Hapo juu wameiita hii JF kuwa ni sehemu ambayo watu wanaongea kwa uwazi.
 
Wakulu, kisheria hiyo mitambo ya IPTL kama inawashwa 'hovyohovyo' nikimaanisha in a reactive way bila kucheki mambo ya kisheria, hatutaishia kulipa tena hela za ajabu ajabu? kwa nini ilizimwa in the first place?

Jingine, kama inawezekena kuimuru IPTL iwashe mitambo yake, hiyo ya Dowans kinashindikana kitu gani na nimesikia ni 'ya kuwashwa tu'?

Haya ni maswali mazito sana Kaizer. Labda swali la kuongezea tu - kama wanaweza kuamuru (au kushauri kama Zitto alivyofanya) leo kuwa IPTL iwashwe? nini kitawazuia kesho wasiamuru (na kushauri) kuwa izimwe?
 
Zitto ameanza kujikwoti hapo juu kuwa yeye ndiye alitoa hili wazo la IPTL. Je alilitoa kama nani? umejiuliza hilo swali?


Kwa sisi wazee wa muda sana hapa jamvini na kwa uzoefu wetu wa miaka mingi Duniani na jamvini na kwa uwezo wetu wa kusoma akili na hata mawazo ya watu waonekena una beef na Zitto . Sasa badala ya kuvuruga majadiliano haya kwa kuleta personalities nk tangaza rasmi bifu yako lakini his record is clear ni yeye kaja na kusema taifisha mitambo tuonane mahakamani . Ngeleja akaja akasema no .

Hebu tujadili vitu vya maana and we drop these nonsense all the time .
 
Siwezi kukujibu kwa sasa kwanza hapa nilipo umeme haujaja mpaka saa tano. Natumia cm ambayo charge inakwisha. Kulumbana na wewe ofcoz ni waste of time

Umeshtukia chuma kinakusanya no of posts...

Hiyo nyekundu inabidi utoe battery yako uigonge gonge then irudishe itapiga mzigo tuu.
 
Kwa sisi wazee wa muda sana hapa jamvini na kwa uzoefu wetu wa miaka mingi Duniani na jamvini na kwa uwezo wetu wa kusoma akili na hata mawazo ya watu waonekena una beef na Zitto . Sasa badala ya kuvuruga majadiliano haya kwa kuleta personalities nk tangaza rasmi bifu yako lakini his record is clear ni yeye kaja na kusema taifisha mitambo tuonane mahakamani . Ngeleja akaja akasema no .

Hebu tujadili vitu vya maana and we drop these nonsense all the time .

Mkuu Lunyungu,

Sikujua kama muda wa mtu kuwepo hapa forums unamfanya huyo mtu kuwa na ujuzi zaidi wa mambo! Mimi sina ugomvi wowote na Zitto. Soma posts zangu zote hapa jf na utagundua kuwa leo ni mara ya kwanza kwangu kuwa na debate na Zitto.

Sidhani kama nimekuzuia kujadili mambo ya maana kwenye hii thread. Yaani watu mnaanza wenyewe kumuingiza Zitto kwenye mjadala (huku Zitto naye akiwaunga mkono kwa kujikwoti hapa), watu wengine nao wanaingia kutaka kujua upana na uhusika wa Zitto na kisha hilo linakuwa tatizo?
 
Nakupongeza rais kwa kufikia maamuzi hayo, ndiyo ni Zitto aliyetoa pendekezo hilo,japo umechukua muda kutakeaction,lakini umechukua, ni vizuri ukiwa kiongozi uchama huwe nawe mbali, usiangalie mawazo mazuri ya kuendeleza nchi yanatoka kwa nani, ni vizuri kuyafanyia kazi kama yanaliendeleza taifa letu hilo moja, la pili mimi natamani na ningefanya hivyo kama ningelikuwa kiongozi wa nchi, katika kutoa nyadhifa mbali mbali za nchi nisingeangalia mwanachama mwenzangu,nigeangalia nani ana huwezo,pamoja nae kuliendeleza taifa letu, nasikitika sana tena sana kwa kuona tuna watu wazuri tu wakipewa watafanya vizuri kulikoni wengineo,hawapati nafasi sababu tu ya uchama, tufikie wakati taifa liwe mbele kwanza.
 
Nakupongeza rais kwa kufikia maamuzi hayo, ndiyo ni Zitto aliyetoa pendekezo hilo,japo umechukua muda kutakeaction,lakini umechukua, ni vizuri ukiwa kiongozi uchama huwe nawe mbali, usiangalie mawazo mazuri ya kuendeleza nchi yanatoka kwa nani, ni vizuri kuyafanyia kazi kama yanaliendeleza taifa letu hilo moja, la pili mimi natamani na ningefanya hivyo kama ningelikuwa kiongozi wa nchi, katika kutoa nyadhifa mbali mbali za nchi nisingeangalia mwanachama mwenzangu,nigeangalia nani ana huwezo,pamoja nae kuliendeleza taifa letu, nasikitika sana tena sana kwa kuona tuna watu wazuri tu wakipewa watafanya vizuri kulikoni wengineo,hawapati nafasi sababu tu ya uchama, tufikie wakati taifa liwe mbele kwanza.

Mtumie fax.
 
The real menace of our Republic is this invisible government which like a giant octopus sprawls its slimy length the nation. Like the octopus of real life, it operates under cover of a self created screen....At the head of this octopus are Dowans,Kagoda and the likes interests and a another group of powerfully investors and business personell. The coterie of powerful inestors and business personell virtually run the Tanzanian government for their own selfish purposes. They practically control the political party in power.

Our government has forgotten its role to their people and the Tanzanian people are simply forgetting their role to their own government!
 
Back
Top Bottom