Kikwete a smart Man that I know


Mkuu Umeongea vizur!
Ila naomba nikuhakikishie ccm ni ile ile na watu ni wale wale! Na wafanyayo ni mbele kwa mbele!

Hakutakuwa na jipya! Wako huko wanakwambia stay tuned!

Na shingo ikishupazwa saaaaaana kwa mwaka mmoja!! Utasikia tuonane paradiso
 
hana mpya huyo ni mropokaji tu kashiba pombe huyo
 
Weka na mambo ambayo hayakutekelezeka,pia tuambie na ile speech yake juu ya esrow saga,ule ndio usmart?Usitutie hasira

Hebu nitajie nani mnufaika wa escrow aliyekosa ubunge? ndo ujue the Man is smart.
 
Ndio maana nasema hivi Magufuli anakazi kubwa huyo Jamaa niGamba lkn ameanza kununa sasa hayuko peke yake kwenye maofisi

Hapa ndio naanza kuamini JK na JPM picha haziendi... Ndio maana JK alijitahidi kufanya teuzi mpaka sekunde ya mwisho ili mashimo yake yasiwahi kufukuliwa mapema..

JPM ni Pure Mkapa, Mkapa na Mzee Mwinyi ndio wamemweka JPM pale na PM Majaliwa ni selection ya Mkapa ili yale mambo ambayo Mkapa aliyaweka sawa yafanyike kule kwao Kusini (Mtwara Corridor, Viwanda) ambavyo JK alivufuta na kupeleka Bagamoyo, Majaliwa akaviwekee kifuu na vifanyike.. Na ndio maana JPM aligusia swala la kuimarisha Bandari ya Mtwara, na kujenga reli na barabara mpaka Malawi...
 

Kumbuka JK na JPM wote ni made in Mkapa, usitegemee waparurane, sio kweli kuwa kassim kawekwa na Mkapa, sidhani hata mkapa anamfahamu.
 

team nyumbu mnatabu sana jk alilkuwa mbaya kwenu ajabu leo mnamuona mbayaa
 
Ni kweli kabsa hakutakuwa na jipya Magufuli atakuwa akitoa maagizo lakini utekelezaji utakuwa mgumu, JK na Mkapa wamepenyeza watu wao kwenye baraza lake mawaziri
na mfumo kubakia ule ule hivyo kuendeleza uchakachuaji na ufisadi kama kawaida.


Tatizo wadanganyika wengi wanataka kwenda Peponi bila Kufa tunaposema CCM ni joka kubwa bila kulivunja mgongo na kuliua hakuna kipya kitazaliwa chini ya mfumo wake watu wanarukaruka kama Maharage yanayovyochemka Jikoni wanashangilia Ziara zakushtukiza Nchi hii bado inawajinga wengi sana.....Wengine huko tulishatokaga tunasubiri matokeo tu Ukiwaambia hivyo watu wanakwambia huitakii mema nchi ..Ukweli nikwamba hakuna jipya kwa CCM imebaki mikwara tu....Wanaolazima watu wawapigie mapambio wapige wenyewe.....lkn Baadaya Baraza la mawaziri kutangazwa wenye akili kdg wataanza kuuona ukweli tunaouona sisi nandio hapo msemo wa TV na Remote unakapo pata uhalali zaidi
 

Asante nawe kwa kuliona hili....wakati mwingine Inatupasa. Kukaa kimya kwasasa ili tusiharibu Furaha ya watanganyika wenzetu maana kwa sasa wako kwenye FUNGATE baada ya muda watatuelewa tulikuwa tunamaanisha nini
 
Nitaendelea kuichukia ccm mpaka itoke madarakani kama niko hai! Haijalishi magufuli ataleta maendeleo gani!
 

Mbona unajijibu mwenyewe?
 
Kumbuka JK na JPM wote ni made in Mkapa, usitegemee waparurane, sio kweli kuwa kassim kawekwa na Mkapa, sidhani hata mkapa anamfahamu.

Ubishi mwingine hauna maana... Mkapa ndiye alienda kuhakikisha Majaliwa anashinda na ndiye kati ya wagombea wakwanza kabisa kutangazwa.. Alitangazwa kukiwa na magari ya kuwasha na vifaru nje. Uliza watu wa Ruangwa.. Hata EL na JK walikuwa marafiki lakini wakakwaruzana sembuse JK na JPM?? Unajua nani alimtuma CAG Assad kumchafua Magufuli kule nje?? JK chagua lake ni Membe na ndiye alitaka alazimishe awe...
 

Hotuba za Magufuli zinaweza kuwa na mapungufu, sawa. Lakini hiyo
haimfanyi JK kuwa "A Smart Man".
He has failed the nation so much!
 
Wengi humu mmezaliwa na mnaishi Tanzania... lakini bado hamuijui na kuifahamu TANZANIA ni ya nani!!!!!!
 
Ni kweli. Huwezi kutatua matatizo kama huna maono na roho haikuumi. Magufuli ataweza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…