Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 298,978
- 751,639
Kikundi kimoja cha kidini mkoani Rukwa kimepiga marufuku waumini wake wa kike wajawazito kuhudhuria kliniki huku watoto wakikatazwa kupokea chanjo yoyote kwa maelezo kuwa ni kinyume na mafundisho ya Mungu
Na waunini wengine wote wamekuwa wakizuiliwa kutumia tiba yoyote ya hospital
Baada ya habari hii kujulikana kiongozi wao alikimbilia kusikojulikana na kuzima simu zake zote
Na waunini wengine wote wamekuwa wakizuiliwa kutumia tiba yoyote ya hospital
Baada ya habari hii kujulikana kiongozi wao alikimbilia kusikojulikana na kuzima simu zake zote