Habari wapendwa....
Mimi nipo morogoro, ni Dada mwenye uchungu sana na maisha na nahitaji maendeleo kwa njia yoyote iliyo halali! na moja ya njia hizo ni kilimo! nimeshawahi kujishughulisha Sana na kilimo cha umwagiliaji kwa zao la nyanya, hoho na matikiti... kwakweli ingawa haikunilipa Sana lakin niliweza kurudisha gharama za uzalishaji na kupata faida kidogo!
ila kwa mwaka 2014 wote sikuweza kurudi shambani kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonifanya kutumia mtaji wote!sasa nahitaji kurudi shamban mwaka huu lakin nimeona changamoto kubwa kwenye kilimo ni ufuatiliaji!
Mimi kwa nature ya kazi yangu ni mtu Wa kusafiri safiri! hivyo nimefikiria nikipata watu amabo wako interested na kilimo Kama Mimi tuanzishe kikundi cha kilimo nadhani itakuwa poa Sana na pia tunaweza kufaidika na opportunity zilizopo kwenye halmashauri Kama hela za vijana wenye miradi mbalimbali hasa hii miradi ya kilimo!
Kama upo morogoro na kweli hili wazo limekugusa tiririka hapa chini tuone tunaanzia wapi..... wazo langu ni kuja kuwa na kampuni inayozalisha, inayouza na kununua mazao... please naomba wenye nia ya kweli waje hapa tukamate hii fursa!.. kikundi kiwe na watu 3 hadi Wa 5 ili tuweze kumanage vizuri..
wote tunajua panya wengi hawachimbi shimo!
Asanten.
Mimi nipo morogoro, ni Dada mwenye uchungu sana na maisha na nahitaji maendeleo kwa njia yoyote iliyo halali! na moja ya njia hizo ni kilimo! nimeshawahi kujishughulisha Sana na kilimo cha umwagiliaji kwa zao la nyanya, hoho na matikiti... kwakweli ingawa haikunilipa Sana lakin niliweza kurudisha gharama za uzalishaji na kupata faida kidogo!
ila kwa mwaka 2014 wote sikuweza kurudi shambani kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonifanya kutumia mtaji wote!sasa nahitaji kurudi shamban mwaka huu lakin nimeona changamoto kubwa kwenye kilimo ni ufuatiliaji!
Mimi kwa nature ya kazi yangu ni mtu Wa kusafiri safiri! hivyo nimefikiria nikipata watu amabo wako interested na kilimo Kama Mimi tuanzishe kikundi cha kilimo nadhani itakuwa poa Sana na pia tunaweza kufaidika na opportunity zilizopo kwenye halmashauri Kama hela za vijana wenye miradi mbalimbali hasa hii miradi ya kilimo!
Kama upo morogoro na kweli hili wazo limekugusa tiririka hapa chini tuone tunaanzia wapi..... wazo langu ni kuja kuwa na kampuni inayozalisha, inayouza na kununua mazao... please naomba wenye nia ya kweli waje hapa tukamate hii fursa!.. kikundi kiwe na watu 3 hadi Wa 5 ili tuweze kumanage vizuri..
wote tunajua panya wengi hawachimbi shimo!
Asanten.