Kilinzibar
Senior Member
- Mar 6, 2008
- 124
- 1
Polisi ivi karibuni wametangaza kikosi maalum cha kuzui uhalifu na kutoa namba
ndeeefu kweli za kupiga, wamedai ukipiga tu jamaa wako fasta mara moja
wanatokea kwenye tukio...sasa hii inamanisha zile namba za dharula kwisha
kazi au? na ina manisha kuwa kabla ya kuanzishwa kwa kikosi hicho ina maana
kulikua hakuna emergency respond? basi wawambie na ndugu zao wa zima
moto wanzishe kikosi pia.....
ndeeefu kweli za kupiga, wamedai ukipiga tu jamaa wako fasta mara moja
wanatokea kwenye tukio...sasa hii inamanisha zile namba za dharula kwisha
kazi au? na ina manisha kuwa kabla ya kuanzishwa kwa kikosi hicho ina maana
kulikua hakuna emergency respond? basi wawambie na ndugu zao wa zima
moto wanzishe kikosi pia.....