Kikosi kazi kilisahau suala la kiwango cha elimu ya mgombea Urais, Ubunge, Udiwani

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,833
21,466
Kikosi kazi kilisahau jambo Muhimu sana ambalo ni elimu za wagombea wa nafasi za kisiasa.

Ilitakiwa Ili uchukue fomu ya kugombea urais mgombea awe na PhD na Sio vinginevyo.

2. Kuchukua fomu ya kugombea ubunge mgombea awe na shahada ya pili na Sio vinginevyo

3. Kugusa fomu ya udiwani mgombea awe na elimu isiyopungua kidato cha sita na Kuendelea.

4. Kugusa fomu ya kugombea umeya au uwenyekiti wa Halmashauri mgombea awe na shahada ya kwanza na Kuendelea

5. Kugusa fomu ya kugombea uwenyekiti waserikali Za mitaa mgombea awe na elimu ya kidato cha nne na Kuendelea.

Kikosi kazi kiliacha makusudi kuelezea eneo hili au kilisahau?
 
PhD kwenye siasa ni sawa na mlenda kwenye utoe mwenye engine ya gari kama oil kwa visingizio kuwa kwasababu oil ina viscosity pia mlenda unao. Kwahiyo huo mlenda unaweza kufanya kazi za oil ndani ya engine ya gari

Mzee hawa wenye PhD ni bora uwapelwke hata Chuoni huko au mkurugenzi au kwenye Idara mbalimbali inaweza kusaidia

Siasa inataka mtu ambae ni peculiar talented gifted visionary passionate multi-dimensional anayo hofu ya Mungu labda kwa uchache ni hizo sifa

MaPhD yako tafadhari sana fungia kabatini tafuta sifa hizo hapo
 

Attachments

  • 1DC8D703-F9AD-42C3-90B9-8D5CC92497DF.jpeg
    1DC8D703-F9AD-42C3-90B9-8D5CC92497DF.jpeg
    102.6 KB · Views: 2
Kikosi kazi kilisahau jambo Muhimu sana ambalo ni elimu za wagombea wa nafasi za kisiasa.

Ilitakiwa Ili uchukue fomu ya kugombea urais mgombea awe na PhD na Sio vinginevyo.

2. Kuchukua fomu ya kugombea ubunge mgombea awe na shahada ya pili na Sio vinginevyo

3. Kugusa fomu ya udiwani mgombea awe na elimu isiyopungua kidato cha sita na Kuendelea.

4. Kugusa fomu ya kugombea umeya au uwenyekiti wa Halmashauri mgombea awe na shahada ya kwanza na Kuendelea

5. Kugusa fomu ya kugombea uwenyekiti waserikali Za mitaa mgombea awe na elimu ya kidato cha nne na Kuendelea.

Kikosi kazi kiliacha makusudi kuelezea eneo hili au kilisahau?
Kwani nini unatumia viwango vya elimu kwenye kusaka uongozi wa nchi ?
 
Kikosi kazi kilisahau jambo Muhimu sana ambalo ni elimu za wagombea wa nafasi za kisiasa.

Ilitakiwa Ili uchukue fomu ya kugombea urais mgombea awe na PhD na Sio vinginevyo.

2. Kuchukua fomu ya kugombea ubunge mgombea awe na shahada ya pili na Sio vinginevyo

3. Kugusa fomu ya udiwani mgombea awe na elimu isiyopungua kidato cha sita na Kuendelea.

4. Kugusa fomu ya kugombea umeya au uwenyekiti wa Halmashauri mgombea awe na shahada ya kwanza na Kuendelea

5. Kugusa fomu ya kugombea uwenyekiti waserikali Za mitaa mgombea awe na elimu ya kidato cha nne na Kuendelea.

Kikosi kazi kiliacha makusudi kuelezea eneo hili au kilisahau?
Naomba kujuzwa, hivi nani alihitaji kikosi kazi? Kama taifa tulitumia gharama kubwa sana kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya, mpaka tukapata rasimu ya Katiba iliyowakilisha MAONI YA WENGI. Nina maswali machache hapa:

1. Kwa nini rasimu ya Katiba iliyopitishwa na taifa imekwamishwa?

2. Nani aliyekwamisha rasimu hiyo?

3. Je, ni sahihi kwa mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache kuupinga msimamo ama mawazo ya wananchi wengi ili kulinda maslahi binafsi?

4. Je, kuna haja gani ya kuunda 'kikosi kazi' kufanya mchakato ambao umeshatekelezwa kwa mapana yake na kupata uwakilishi mpana wa Watanzania wote?

5. Je, kikosi kazi kinaweza kuwa kimefanya kazi bora zaidi kuliko tume maalum ya kukusanya maoni ya Katiba na pia kimetoa mapendekezo bora zaidi kuliko yale yaliyopitishwa na Bunge rasmi la Katiba?

6. .....

Asante
 
Naomba kujuzwa, hivi nani alihitaji kikosi kazi? Kama taifa tulitumia gharama kubwa sana kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya, mpaka tukapata rasimu ya Katiba iliyowakilisha MAONI YA WENGI. Nina maswali machache hapa:

1. Kwa nini rasimu ya Katiba iliyopitishwa na taifa imekwamishwa?

2. Nani aliyekwamisha rasimu hiyo?

3. Je, ni sahihi kwa mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache kuupinga msimamo ama mawazo ya wananchi wengi ili kulinda maslahi binafsi?

4. Je, kuna haja gani ya kuunda 'kikosi kazi' kufanya mchakato ambao umeshatekelezwa kwa mapana yake na kupata uwakilishi mpana wa Watanzania wote?

5. Je, kikosi kazi kinaweza kuwa kimefanya kazi bora zaidi kuliko tume maalum ya kukusanya maoni ya Katiba na pia kimetoa mapendekezo bora zaidi kuliko yale yaliyopitishwa na Bunge rasmi la Katiba?

6. .....

Asante
JK ametupiga na kitu kizito
 
Naomba kujuzwa, hivi nani alihitaji kikosi kazi? Kama taifa tulitumia gharama kubwa sana kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya, mpaka tukapata rasimu ya Katiba iliyowakilisha MAONI YA WENGI. Nina maswali machache hapa:

1. Kwa nini rasimu ya Katiba iliyopitishwa na taifa imekwamishwa?

2. Nani aliyekwamisha rasimu hiyo?

3. Je, ni sahihi kwa mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache kuupinga msimamo ama mawazo ya wananchi wengi ili kulinda maslahi binafsi?

4. Je, kuna haja gani ya kuunda 'kikosi kazi' kufanya mchakato ambao umeshatekelezwa kwa mapana yake na kupata uwakilishi mpana wa Watanzania wote?

5. Je, kikosi kazi kinaweza kuwa kimefanya kazi bora zaidi kuliko tume maalum ya kukusanya maoni ya Katiba na pia kimetoa mapendekezo bora zaidi kuliko yale yaliyopitishwa na Bunge rasmi la Katiba?

6. .....

Asante
Mkuu lengo Lao kuu ni kuua CHADEMA yaani tozo zote tunazotozwa ni kuwapa ulaji MUKANDALA na wahuni wenzake ,Sisi wananchi tulimaliza maoni Kwa Mzee warioba Leo mtu anakuja kuleta uchawa wa kuvuruga maoni ya watanzania ,hawa ni wasaliti na kizazi Chao ,niulize swali hayo maoni waliotoa kwenye hicho kikundi mbona watanzania hatujawahi kuambiwa au kujulishwa ?Hangaya na hao wahuni wanawahujumu watanzania Kwa kupora rasilimali zetu .
 
Kwa tz hakuhitaji elimu kwa sasa.labda kama mtaala utabadilika ili kumfanya msomi awe na kitu cha pekee tofauti na aliyesoma.kwa sasa MTU mwenye PhD hana tofauti na ambaye hajaenda shule?mfano makinikia kuruhusiwa kwenda kuchenjuliwa ulaya kwa madai ya watu mwenye PhD kuwa hayana thamani yeyote.Yaani mzungu aingie gharama ya kusafirisha mchanga tani na tani kwenye meli useme hauna thamani kweli?hapo kunafaida gani ya PhD?
 
Mkuu lengo Lao kuu ni kuua CHADEMA yaani tozo zote tunazotozwa ni kuwapa ulaji MUKANDALA na wahuni wenzake ,Sisi wananchi tulimaliza maoni Kwa Mzee warioba Leo mtu anakuja kuleta uchawa wa kuvuruga maoni ya watanzania ,hawa ni wasaliti na kizazi Chao ,niulize swali hayo maoni waliotoa kwenye hicho kikundi mbona watanzania hatujawahi kuambiwa au kujulishwa ?Hangaya na hao wahuni wanawahujumu watanzania Kwa kupora rasilimali zetu .
Mkuu, yaani mpaka sasa sijaelewa nini hasa kinachoendelea
 
Back
Top Bottom