kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Hakuna art kwenye kazi ya Kikosi.
Bila kujali maudhui, watu wa2 tu eameutendea haki: Pmawenge na Zaiid.
Weusi washavuka stage ya battle na undergrounds. Wako focused kutengeneza kazi zinazolika na jamii ya Tz na nje.
Huyu bro Nikki aisee ni skio lisiloskia dawa. Habadiliki. Flow yake ya kidwanzi kama kalevywa na chibuku. Game ishamkataa.
Kwenye hilo kundi hakuna chemistry ndo maana wataendelea kukosea. Kundi zuri lingeweza undwa na: (Wakazi, Oneincrdbl), (Zaiid, Pmawenge), (Nikki Mbishi na huyu jamaa aloanza kuchana +Songa) ila ukidhamchanganya Nikki na P tu unaharibu ladha, watu wanakumbuka diss ya P kuliko hata kukoncentrate na wimbo wao
Bila kujali maudhui, watu wa2 tu eameutendea haki: Pmawenge na Zaiid.
Weusi washavuka stage ya battle na undergrounds. Wako focused kutengeneza kazi zinazolika na jamii ya Tz na nje.
Huyu bro Nikki aisee ni skio lisiloskia dawa. Habadiliki. Flow yake ya kidwanzi kama kalevywa na chibuku. Game ishamkataa.
Kwenye hilo kundi hakuna chemistry ndo maana wataendelea kukosea. Kundi zuri lingeweza undwa na: (Wakazi, Oneincrdbl), (Zaiid, Pmawenge), (Nikki Mbishi na huyu jamaa aloanza kuchana +Songa) ila ukidhamchanganya Nikki na P tu unaharibu ladha, watu wanakumbuka diss ya P kuliko hata kukoncentrate na wimbo wao