KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Mpaka leo tanzania haina kikosi maalumu cha ukozi wa dharura aidha cha nchi kavu ,majini au angani.mfano jana giza lilipo ingia shughuli za uokozi zikasitishwa,je mtu gani atahimili kukaa majini akisubiri kuokolewa mpaka asubuhi,yaani baada ya
masaa 24.udhaifu udhaifu.............................................udhaifu
masaa 24.udhaifu udhaifu.............................................udhaifu