Kikombe cha Mbeya kiboko

Kikombe cha Mbeya kiboko

Hivi kweli kwa taifa lenye viongozi wenye mawazo kama yale yaliyojidhihirisha jana, kwa kuleta watoto wasiojua lolote ili kuziba nafasi, ili wenye uwezo wa kupambanua wasipate nafasi katika mjadala wa jambo muhimu kama katiba ya nchi, litakuwa na jamii ya aina gani?
Yule mtu tambwe hiza wala hajionei aibu kueneza propaganda za kujipendekeza katika masuala muhimu yenye kubeba mustakabali wa taifa kwa vizazi na vizazi, na anatoka hadharani na kusema mimi kwa kuzuiwa kusema usiku nimepigiwa simu zaidi ya mia saba za kunifariji.
Jamani tunaelekea wapi? Kama hiyo ndio aina ya viongozi unatarajia wale wanaoongozwa waweje?
Waache raiya wajimwage na vikombe na hata kama ikibidi mwenye uwezo anywe ndoo nzima.
.
 


Nabii Joshua Mwantyala akiwanyunyuzia maji ya tiba wananchi waliokusanyika katika mkutano wake wa Neno la Mungu la uponyaji na kuwaombea wagonjwa wote wenye magonjwa sugu kama vile Ukimwi, Kansa na mengineyo. Nabii Joshua juzi alianzisha huduma ya tiba yake inayojulikana kama majibu ya tiba ya maajabu ya Loliondo ambapo yeye hutoa matone ya maji ya uponyaji.ambayo huwanyunyuzia wagonjwa vinywani(Picha: Regnald Miruko)

hahahahahah huyu naye amekuja na mpya sio ya "kikombe" sijui hayo maji yanadondokea matone mangapi mdomoni/ hahahahahahahahahahaha.

na mie nitatafuta yangu siku moja mtanisikia wana jamiiforum hahahahahah
 
Hivi kweli kwa taifa lenye viongozi wenye mawazo kama yale yaliyojidhihirisha jana, kwa kuleta watoto wasiojua lolote ili kuziba nafasi, ili wenye uwezo wa kupambanua wasipate nafasi katika mjadala wa jambo muhimu kama katiba ya nchi, litakuwa na jamii ya aina gani?
Yule mtu tambwe hiza wala hajionei aibu kueneza propaganda za kujipendekeza katika masuala muhimu yenye kubeba mustakabali wa taifa kwa vizazi na vizazi, na anatoka hadharani na kusema mimi kwa kuzuiwa kusema usiku nimepigiwa simu zaidi ya mia saba za kunifariji.
Jamani tunaelekea wapi? Kama hiyo ndio aina ya viongozi unatarajia wale wanaoongozwa waweje?
Waache raiya wajimwage na vikombe na hata kama ikibidi mwenye uwezo anywe ndoo nzima.
.

Yahi hata mie jana nilichukia sana nilivyoona wale watoto kwenye luninga wengine hadi wamelala. kweli hii nchi wanaichezea sasa. mbaya zaidi watoto wameletwa pale toka saa kumi na moja asubuhi. ama kweli
 
mwaka huu tutaona na kusikia mengi...ila wanaoijua KWELI hawatadanganyika, na lililo la Mungu litasimama.
 
Watakuja wengi kwa jina langu
watu wamekata tamaa jamaa wanarudisha imani ya maisha kwa watu. Tunajiona wafu tu, poa sana ufunuo wa babu, mbeya, tabora. Waje wengine mia mbili. Idara ya afya imeoza. Dawa hamna mpaka utoe kitu kidogo, kikwete na mafisadi wanatafuna nchi yetu, kidogo vikombe vinatupa imani kwamba tutaishi kwa matumaini huku mungu akitulinda. Bravo. Majani+mizizi+maji+maombi= uponyaji
 
"For they are spirits of demons, performing signs, which​
go out to the kings of the earth and of the whole world, to gather them to the battle of that great day of God Almighty" (Rev. 16:14). In this verse the Bible is alerting the entire human family that there will be an end-of-the-age apocalyptic burst of the demonic immediately preceding earth's last conflict. Demons will "go out" as never before. It will seem like the very gates of hell have been opened. Legions of pent-up forces will be unleashed from the abyss.

 
hahaha wajameni haya mambo yapo kwani jamaa wanajua watanzania kuanzia raisi, mawaziri wa wananchi tu wagonjwa, taifa linaumwa hili tunataka tiba nyingi, full dozes za spiritual and moral. Tunatakiwa kukodisha mchina awe raisi miaka hata mitano anyooshe nchi hii,
 
Hii ni kali ya mwaka nasema na wataibuka wengi sana, huyu ni nabii bado mtume.
 
Inasikitisha sana aisee, mi mwenyewe natumia sera ya kutoamini chochote ninachosikia na kuamini kama nusu hivi ninachokiona kwa macho yangu kwasababu hii dunia ina mazingaombwe huwezi amini. Porojo kama hizi zanikumbusha mbaali, yaani vita ya majimaji ilikuwa na mwenendo kama huu, kunywa maji kidogo, halafu ukapambane na mjerumani, mtumeee mbona waliangamia. Huu ni usanii babaake wazungu husema " making a dollar out of fifteen cents" yaani kubadili senti 15 kuwa dola moja, ni kiini macho tu, musa alichukua fimbo akapiga lile jiwe maji yakabubujika, huo no mfano wa nguvu za mwenyezi, kwani musa aliwaambia sh 500 kila mtu alafu ntafanya mambo? Ogopa sana usanii wa mwanadamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom