Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,932
- 4,697
Hivi kweli kwa taifa lenye viongozi wenye mawazo kama yale yaliyojidhihirisha jana, kwa kuleta watoto wasiojua lolote ili kuziba nafasi, ili wenye uwezo wa kupambanua wasipate nafasi katika mjadala wa jambo muhimu kama katiba ya nchi, litakuwa na jamii ya aina gani?
Yule mtu tambwe hiza wala hajionei aibu kueneza propaganda za kujipendekeza katika masuala muhimu yenye kubeba mustakabali wa taifa kwa vizazi na vizazi, na anatoka hadharani na kusema mimi kwa kuzuiwa kusema usiku nimepigiwa simu zaidi ya mia saba za kunifariji.
Jamani tunaelekea wapi? Kama hiyo ndio aina ya viongozi unatarajia wale wanaoongozwa waweje?
Waache raiya wajimwage na vikombe na hata kama ikibidi mwenye uwezo anywe ndoo nzima.
.
Yule mtu tambwe hiza wala hajionei aibu kueneza propaganda za kujipendekeza katika masuala muhimu yenye kubeba mustakabali wa taifa kwa vizazi na vizazi, na anatoka hadharani na kusema mimi kwa kuzuiwa kusema usiku nimepigiwa simu zaidi ya mia saba za kunifariji.
Jamani tunaelekea wapi? Kama hiyo ndio aina ya viongozi unatarajia wale wanaoongozwa waweje?
Waache raiya wajimwage na vikombe na hata kama ikibidi mwenye uwezo anywe ndoo nzima.
.