Kiko wapi chama kikuu cha upinzani CHAUMMA?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
39,079
Reaction score
90,716
Hamjambo!

Kwa yeyote anayejua anijibu Hilo swali hapo juu. Itapendeza wafuasi wa chaumma wakiwa mstari wa mbele kujibu.
Natanguliza shukrani
 
Hivi na MREMA wa CHAUMMA anapokea ruzuku kiasi gani toka CCM?
 
Sema MO29; imefutilia mbali takataka nyingi,,Leo hii Catherine Ruge,Susana Kiwanga,,Stevin wasirra ,John Mrema wanaogopa kutoa kichwaa
 
Sema MO29; imefutilia mbali takataka nyingi,,Leo hii Catherine Ruge,Susana Kiwanga,,Stevin wasirra ,John Mrema wanaogopa kutoa kichwaa
Peter Msigwa, Zito, Halima Mdee nk wanaona aibu vibaya, maana kilichotokea 29 imekuwa kama game changer, na wao ni kama wamepishana na gari la mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…