Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Kikatiba hakuna dini ya kikristo

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
10,884
Reaction score
18,826
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
 
Nakumbuka niliona kwenye katiba kuwa kila dhehebu linasajiliwa kama dini. Hivyo basi, hakuna dini ya ukristo ila kuna dini za Aglican, Katoliki, Lutheran, Moravian, nk, nk. Sijajua upande wa Uislamu husajiliwa namna gani. So kisheria nchi yetu ina dini nyingi sana.
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
 
Ngoja ninywe supu ya ngisi huku nikiangalia pambano
 
Lengo lako ni uwatoe Wakristo kwenye Reli wajione Hawatambuliki ulete Vurugu za Kidini humu

Leteni umoja achaneni na Chokochoko
 
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
Katibu haitambui madhehebu, hayo unayoita madhehebu katiba inatambua ni dini.
 
Mkitoka kwenye dini mtahamia kwenye siasa. Baadhi ya vijana wa Tanzania hupenda kuutumia muda wa kutafuta riziki kwenye mabishano yasiokuwa na tija.
We ndiye unataka kuleta mabishano yasiyo na tija.
 
Dini ni Ukiristo madhehebu yao ndo Anglicani katoliki nk.......hao wote imani yao ni moja wana chukua Yesu kua Mungu na Mary kua Mama wa Mungu very ridiculous....
Sio Kwa mapenzi ya Mwanadamu, Bali Mapenzi Ya Mungu.
 
Back
Top Bottom