Kikao kilichofanyika ikulu

Kikao kilichofanyika ikulu

makesy

Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
75
Reaction score
32
WANA JF SALAM
Naomba kujua kuhusu kikao kilichoitiswa na raisi ikulu juzi jumatatu kikishirikisha wabunge wa dar na wadau wa maji wamefikia mwafaka gani au ilikuwa ni kauli ya raisi ya kujitoa kwenye kibano cha wananchi?
 
WANA JF SALAM
Naomba kujua kuhusu kikao kilichoitiswa na raisi ikulu juzi jumatatu kikishirikisha wabunge wa dar na wadau wa maji wamefikia mwafaka gani au ilikuwa ni kauli ya raisi ya kujitoa kwenye kibano cha wananchi?

Jumatatu si alikuwa anazunguka na Raisi wa China makessy
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kilicho tokea jumatatu ya tarehe 25/03/2013 ni Jakaya Mrisho Kikwete kuandika historia ya ku-sign mikataba tata kumi na sita kwa mpigo na rais wa China;

"This is possible only in Tanzania"
 
Mkuu kilicho tokea jumatatu ya tarehe 25/03/2013 ni Jakaya Mrisho Kikwete kuandika historia ya ku-sign mikataba tata kumi na sita kwa mpigo na rais wa China;

"This is possible only in Tanzania"

ni kweli kaka, kwani kwetu hata tume ya kuchunguza kwann panya wanaishi inaweza kuundwa na watu wakalipana posho ya kukaa kitako

siwezi kushangaa kusikia rais naye anakuwa mtu wa kusaini mkataba badala ya makatibu wakuu au waziri wa mambo ya nje

tunasikia ni fadhila kwa china kutomnyonga Riz alipokamatwa na madawa ya kulevya huko china, aliachiwa baada ya jk kukwea pipa na kuahidi kwa maandishi kuwa china itapata vitu vingi vya upendeleo ikianzia kwenye madini, ujenzi wa barabara na uwekezaji kibao, ndiyo hayo
 
:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39: mmmh Hapa napita tu sijaona hizo shutma huko juu
 
ni kweli kaka, kwani kwetu hata tume ya kuchunguza kwann panya wanaishi inaweza kuundwa na watu wakalipana posho ya kukaa kitako

siwezi kushangaa kusikia rais naye anakuwa mtu wa kusaini mkataba badala ya makatibu wakuu au waziri wa mambo ya nje

tunasikia ni fadhila kwa china kutomnyonga Riz alipokamatwa na madawa ya kulevya huko china, aliachiwa baada ya jk kukwea pipa na kuahidi kwa maandishi kuwa china itapata vitu vingi vya upendeleo ikianzia kwenye madini, ujenzi wa barabara na uwekezaji kibao, ndiyo hayo



h
apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu kilicho tokea jumatatu ya tarehe 25/03/2013 ni Jakaya Mrisho Kikwete kuandika historia ya ku-sign mikataba tata kumi na sita kwa mpigo na rais wa China; <br />
<br />
&quot;This is possible only in Tanzania&quot;
<br />
<br />

Hakuna cha ajabu........kule Urusi wakati wa ziara ya Rais wa China imesainiwa mikataba 30 . Angalia link chini hapo
http://www.taipeitimes.com/News/front/archives/2013/03/26/2003558014
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

haya yalisemwa hadi kwenye vyombo vya habari mkuu au hukusoma habari hiyo labda tuvilaumu vyombo vya habari vinavyoleta umbeya sio ss tunaoquote

pili kuna mtu jana ametupa dondoo za masharti ya wachina kujenga bandari ya bagamoyo, ulisoma au hukusoma, kama una hakika tupe mikataba hiyo tusome ss wenyewe tuone hayo masharti endapo jamaa aliyosema si ya kweli

tatu epuka matusi mm ni gt hata kama hutaki, ndiyo maana nimetumia neno tumesikia, pia serikali ilishindwa kutoa majibu muafaka kuhusu kashfa ya mtoto wa kigogo kukamatwa na madawa ya kulevya china na serikali kuweka commitment ili kunusuru maisha yake. ni wakati huo huo meli ya kinana iliyobeba meno ya tembo iliripotiwa kukamatwa china, kinana akakiri huoni hizi habari zina mtiririko unaoendana na ukweli kabisa?

nne je hukuona ile picha riz akiwa katikati ya rias wa china na mkewe badala ya wote, mtu wa kawaida unafikiri atatafsiri nn wakati alitajwa bayana kuwa yy ndiye aliyekamatwa na ili kumuokoa commitment zilifanyika kimaandishi

kama kila alilofanya riz/serikali lingewekwa hewan kwa vielelezo nchi ingepasuka vipande vipande hata unyasi huenda usingesalia

chunga comments zako kama ww ni gt toa habari mbadala zilizo sahihi kuhusu hoja iliyochangiwa na mdau kt jukwaa na sio kutumia lugha ya matusi na dharau bila kujibu hoja kwa ushahidi ulio wazi wa kumfanya kila mtu kujua ukweli juu ya jambo husika

msingi wa jukwaa hili ni kuelimishana na kusahihishana pale mtu anapokuwa na habari isiyokamilika
 
Wewe ulieleta mada ndio unatakiwa uje hapa na habari kamili sio unatuuliza sisi.
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Inaelekea comment ya jamaa imekuuma sana. Ila mimi naweza kuamini kuwa ni kweli kutokana na mambo yanayotokea Tanzania, its possible, mfano;
-Tanzania chama cha siasa kinaweza kuingia bank kuu na kuiba hela za kufanyia kampeni na ikawa ni kitu cha kawaida tu.
-Tanzania watu wanaweza kwenda kuiba wanyama kwenye mbuga za wanyama na kuwapisha Airport na hakuna shida kabisa.
-Tanzania ni nchi ambayo unaweza kujenga nyumba katikati ya barabara na hakuna anayejua mpaka utakapomaliza ndio wanaamka na kukumbuka kumbe umejenga barabarani.
-Tanzania ina uhuru wa miaka kama 50 na maji hayapatikani 5 kilometres kutoka Ikulu.

Sasa madai ya huyo mwanaJF sio ya kupuuzia kabisa.
 
Hivi alipowaita Mnyika et al waje ikulu 25/3/2012 hakujua kuwa Bwana Xi atakuja Tanzania?
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Lakini pia nakuusia kutopuuzia chochote kinachojadiliwa JF, just a matter of time-truth will be realized! Huu mtandao wa ajabu sana, itaanza habari kama tetesi hautaikubali hata kidogo, baadaye utakuja kushangaa ukweli wake.
 
Mkuu kilicho tokea jumatatu ya tarehe 25/03/2013 ni Jakaya Mrisho Kikwete kuandika historia ya ku-sign mikataba tata kumi na sita kwa mpigo na rais wa China;

"This is possible only in Tanzania"
Kudaadeki hadi aiuze mpaka ikulu ndio mjue mmepata Rais international.
 
ni kweli kaka, kwani kwetu hata tume ya kuchunguza kwann panya wanaishi inaweza kuundwa na watu wakalipana posho ya kukaa kitako

siwezi kushangaa kusikia rais naye anakuwa mtu wa kusaini mkataba badala ya makatibu wakuu au waziri wa mambo ya nje

tunasikia ni fadhila kwa china kutomnyonga Riz alipokamatwa na madawa ya kulevya huko china, aliachiwa baada ya jk kukwea pipa na kuahidi kwa maandishi kuwa china itapata vitu vingi vya upendeleo ikianzia kwenye madini, ujenzi wa barabara na uwekezaji kibao, ndiyo hayo

Ha! Mkuu ni kweli hii? acha bwana!
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hiyo habari unayoipa RED niambie wahusika wa Kashfa hiyo waliisha wahi kukanusha? kama bado nini kimejificha hapo mi nafikiri hayo ya Umbea, Uzushi, uchochezi, Ujinga na Upumbavu unakurudia wewe mwenyewe.
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />
<br />
Usiwasahau wenye fikra mgando. Waliosalimisha ufahamu wao kwa wapuuzi wachache ili kuganga njaa. Ama kweli Tanzania ni nchi ya MISUKULE!
 
Back
Top Bottom