Kikao kilichofanyika ikulu

Kikao kilichofanyika ikulu

h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
<br />
<br />
Dah sijui huyu nae aitwaje
 
Inaelekea comment ya jamaa imekuuma sana. Ila mimi naweza kuamini kuwa ni kweli kutokana na mambo yanayotokea Tanzania, its possible, mfano;
-Tanzania chama cha siasa kinaweza kuingia bank kuu na kuiba hela za kufanyia kampeni na ikawa ni kitu cha kawaida tu.
-Tanzania watu wanaweza kwenda kuiba wanyama kwenye mbuga za wanyama na kuwapisha Airport na hakuna shida kabisa.
-Tanzania ni nchi ambayo unaweza kujenga nyumba katikati ya barabara na hakuna anayejua mpaka utakapomaliza ndio wanaamka na kukumbuka kumbe umejenga barabarani.
-Tanzania ina uhuru wa miaka kama 50 na maji hayapatikani 5 kilometres kutoka Ikulu.

Sasa madai ya huyo mwanaJF sio ya kupuuzia kabisa.

Imetulia mkuu, tayari nimegonga like
 
Waelevu wa mambo, wajinga na wapumbavu wote utawakuta jf . Ff haina ubaguzi ndio maana kila mtu anaandika anachotaka hata kama ni uzushi, uwongo, umbea na fitina zote utazipata. Kikao cha ikulu kilikuwa ni siri we umbea huu uliutoa wap. Usiwe mnafiki ndugu.
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kaa utulie na gamba lako la kijani
 
Kazi kweli tumebaki watz tu chadema mkombozi wetu
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ni kweli, unachokisema. Ameunganisha matukio pengine ambayo hayafanani. Hata hivyo, kuna baadhi ya watu wataanza kufikiria kuanzia hapa. Hili litakuwa kubwa zaidi kama atakuwa ni kweli kasaini mikataba yenye utata. Nami hayo ni mawazo yangu.
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wewe upo kundi gani kata ya uliyoyataja mkuu?
 
Inaelekea comment ya jamaa imekuuma sana. Ila mimi naweza kuamini kuwa ni kweli kutokana na mambo yanayotokea Tanzania, its possible, mfano;
-Tanzania chama cha siasa kinaweza kuingia bank kuu na kuiba hela za kufanyia kampeni na ikawa ni kitu cha kawaida tu.
-Tanzania watu wanaweza kwenda kuiba wanyama kwenye mbuga za wanyama na kuwapisha Airport na hakuna shida kabisa.
-Tanzania ni nchi ambayo unaweza kujenga nyumba katikati ya barabara na hakuna anayejua mpaka utakapomaliza ndio wanaamka na kukumbuka kumbe umejenga barabarani.
-Tanzania ina uhuru wa miaka kama 50 na maji hayapatikani 5 kilometres kutoka Ikulu.

Sasa madai ya huyo mwanaJF sio ya kupuuzia kabisa.


Na mengine umesahau

1. Ni Tanzania peke yake ambayo mkuu wa serikali na nchi anaweza kuulizwa kwanini nchi ni maskini akajibu kuwa naye hajui na wananchi tukaendelea kumpigia makofi.

2.Ni Tanzania pekee yake ambayo bunge linaweza kuunda kamati ya kuchunguza wizi/ubadhirifu/ utapeli na ripoti ikatolewa lakini haiwataji wahusika wa mkataba ule kwa upande mwingine na inadai kuwa upande mmoja wa mkataba unalipwa mamilioni ya fedha lakini haisemi hizo pesa wanalipwaje na wanaolipwa ni nani(payees). Inamalizia kutoa wito wahisika wa ndani wawajibishwe lakini ianshindwa kubaini kipengere cha kumisha mkataba na sisi Watanzania tunawaona waliokuwa kwenye kamati kama heros (case study Richmond na Mwakyembe and team)

3.Ni Tanzania peke yake ambayo miaka 3 mfululizo matokeo ya Sekondari yanashuka sequentially na wahusika hawawajibiki na kibaya wanapata wa kuwaunga mkono
 
Hivi kweli! Yule mtoto wa kigogo aliyeshikwaga na madawa kulevya china, Aliishiaga wapi?
 
Waelevu wa mambo, wajinga na wapumbavu wote utawakuta jf . Ff haina ubaguzi ndio maana kila mtu anaandika anachotaka hata kama ni uzushi, uwongo, umbea na fitina zote utazipata. Kikao cha ikulu kilikuwa ni siri we umbea huu uliutoa wap. Usiwe mnafiki ndugu.

Sidhani kama kikao cha kilikuwa ni siri kwani ni yeye mwenyewe aliyetoa order ya kikao hicho na tarehe husika. Sasa umbea umetoka wapi?
 
h[/B][/I][/COLOR]apa ndio ninapoipendea JF... utakutana na watu wa kila aina...........wambea,wazushi, wachochezi, wapumbavu(wajinga walio advance), wanasiasa na wafuasi wao.... halafu woooote wanakuwa CATEGORISED kama GREAT THINKERS... Ona, eti hata huyu nae ni miongoni mwa GREAT THINKERS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ukirusha mawe kwa jambazi/mwizi aliyejificha vichakani,halafu ukasikia sauti kilio cha maumivu,ujue umemlenga.Huenda damu zinamtoka.
 
WANA JF SALAM
Naomba kujua kuhusu kikao kilichoitiswa na raisi ikulu juzi jumatatu kikishirikisha wabunge wa dar na wadau wa maji wamefikia mwafaka gani au ilikuwa ni kauli ya raisi ya kujitoa kwenye kibano cha wananchi?

Mnyika atuhabarishe kilichojiri huko Ikulu that day
 
Back
Top Bottom