Kikao Dodoma Hotel

Kikao Dodoma Hotel

The Mpole unaweza kuwa na akili kubwa, sawa! Je kwa nini watajwe hawa...
 
Last edited by a moderator:
Benard membe,john magufuri ,edward lowasa,stephen wasira,january makamba,samwel john sitta.--" hii ni vunja mbavu yenye ujumbe mahususi"
 
Hao wote ni presidential material wa CCM. Nafikiri wameenda kupiga ana-ana-do ili wakubaliane mmoja wao kupeperusha bendera ya chama.

Mkuu, labda useme ni presidential aspirants. Kama presidential material hilo ni subject to discussion.
 
Kura ya siri lazima itumike. La Wabunge hawa watagombana sana.
 
katika hali ya kushtusha viongoz kadhaa wa CCM wanaosemekana kuonesha nia ya kugombea urais wameitwa wote wakutane dodoma hotel. siku na saa zimewekwa kwenye parandesi.

Chizi Maarifa, hilo neno jekundu sijalisikia siku nyingi sana, umenikumbusha mbali!!
 
Back
Top Bottom