Kikao Dodoma Hotel

Kikao Dodoma Hotel

Mwaka huu tutaona mengi,Lowassa ciku zinapozid kwenda anawabana wenzake ma------,Lowasaa tunaomba uwache hata wenzako wapumue,kila kitu lowasa,lowassa,chezea masai ww kama ni football lowassa ni messi
 
Tangazo la Watunisha Msuli,La Dodoma Hotel na Hilo la (Allan Badri) alivotamka ndugu Pandu Ameir Kificho ni kupunguza joto na kuwarudisha katika hali ya kawaida Wajumbe. NI UTANI aka STRESS RELIEVER.
 
katika hali ya kushtusha viongoz kadhaa wa CCM wanaosemekana kuonesha nia ya kugombea urais wameitwa wote wakutane dodoma hotel. siku na saa zimewekwa kwenye parandesi. pengine ni ktk hali ya CCM Kutaka kuleta umoja kati yao na pia kuwakumbusha jinsi gan waenende katika bunge hili la katiba kwa maslah ya CCM. Mengi zaidi tutawajuza. habari ya kuitwa kwao imetangazwa na mwenyekiti wa muda wa bunge pandu kificho alipokuwa akiahirisha bunge jioni hii

Tangazo la Watunisha Msuli,La Dodoma Hotel na Hilo la (Allan Badri) alivotamka ndugu Pandu Ameir Kificho ni kupunguza joto na kuwarudisha katika hali ya kawaida Wajumbe. NI UTANI aka STRESS RELIEVER.
 
Mwaka huu tutaona mengi,Lowassa ciku zinapozid kwenda anawabana wenzake ma------,Lowasaa tunaomba uwache hata wenzako wapumue,kila kitu lowasa,lowassa,chezea masai ww kama ni football lowassa ni messi

we sio mzima, umevurugwa, unaongea habari za Lowasa leo, yulyule fisadi au Lowasa yupi unayemsema.
 
Wanataka waelimishane kuwa wawe wamoja kama ilivyopitishwa katika Bunge kwenye mwenyekiti wa wa kudumu
 
Tar.1 April bado,mlokosa kuangalia live bunge mtachangia hii thread weeeeeee
 
Magwiji wa Siasa kutoka CCM watakutana Dodoma Hotel. Unadhani nguri hawa
Membe
Sitta
January
Lowassa
Wassira wana mkakati gani?

wana mkakati wa kisiasa mkuu, maana hao sio ndugu wala marafiki:biggrin1:
 
Tatizo ni kujadili haya makapi ambayo miaka 53 yameshindwa kuja na jibu la matatizo yetu, leo Dodoma hotel wataleta jipya lipi kama sio mgawanyo wa madaraka kwa faida yao wenyewe???
 
hv mmesikia lile tangazo...hamna muda wala mahali pa kukutana tena aliyewaita akutajwa....??
 
Watanzania tumeiona hekima ya Mzee Warioba na tume yake. Watanzania waliipa tume ile maono ya Tanzania inayohitajika kuanzia sasa kwenda mbele. Tunangoja kwa hamu kuona kuwa Mzee Sitta atakuwa na hekima na maono yaleyale? Naona wote wana mvi! Tutapambanua kama mvi ni alama ya hekima au vinginevyo.
 
Akil yako ni kama mat...ko yako, usalama wa taifa ndo unaua na Rais wako kakaa kimya? Haya kama chadema ndo wanaua kwann? Msiwashike viongoz wa chadema? Ndo maana tunasema rais ni dhaifu sn, mtu anayeua si ashikwe mbona hamuwashik sasa, unakuja hapa kuposha kisa umepewa buku 7 na umeuza utu wako, na bado utamuuza na mama yako!!!!

Akili yako imejaa matusi mnakosesha cdm kura
 
Back
Top Bottom