Kikao Dodoma Hotel

Kikao Dodoma Hotel

Chizi Fureshi

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
1,718
Reaction score
462
Magwiji wa Siasa kutoka CCM watakutana Dodoma Hotel. Unadhani nguri hawa
Membe
Sitta
January
Lowassa
Wassira wana mkakati gani?
 
imetangazwa bungeni nimesikia wajumbe wakashangalia blaaaa
 
Hao wote ni presidential material wa CCM. Nafikiri wameenda kupiga ana-ana-do ili wakubaliane mmoja wao kupeperusha bendera ya chama.
 
Nadhani hapa Sitta alitakiwa asiwepo.
refarii kukaa na wapambe wa timu moja si sahihi.
 
CCM haitakaa ishindwe TZ CHADEMA kaugomvi kadogo mnafukuza na kuua bhana

Akil yako ni kama mat...ko yako, usalama wa taifa ndo unaua na Rais wako kakaa kimya? Haya kama chadema ndo wanaua kwann? Msiwashike viongoz wa chadema? Ndo maana tunasema rais ni dhaifu sn, mtu anayeua si ashikwe mbona hamuwashik sasa, unakuja hapa kuposha kisa umepewa buku 7 na umeuza utu wako, na bado utamuuza na mama yako!!!!
 
Magwiji wa Siasa kutoka CCM watakutana Dodoma Hotel. Unadhani nguri hawa
Membe
Sitta
January
Lowassa
Wassira wana mkakati gani?

Kama hujaelewa dhima ya yale matangazo matatu ya mwisho...sishangai avatar uliojichagulia!

Ile ni furahusha kikao tuu hakuna lolote!
 
Hao wote ni presidential material wa CCM. Nafikiri wameenda kupiga ana-ana-do ili wakubaliane mmoja wao kupeperusha bendera ya chama.

Hakuna rais hapo Mkuu! Ni magamba tu kama magamba wengine!
 
katika hali ya kushtusha viongoz kadhaa wa CCM wanaosemekana kuonesha nia ya kugombea urais wameitwa wote wakutane dodoma hotel. siku na saa zimewekwa kwenye parandesi. pengine ni ktk hali ya CCM Kutaka kuleta umoja kati yao na pia kuwakumbusha jinsi gan waenende katika bunge hili la katiba kwa maslah ya CCM. Mengi zaidi tutawajuza. habari ya kuitwa kwao imetangazwa na mwenyekiti wa muda wa bunge pandu kificho alipokuwa akiahirisha bunge jioni hii
 
Magwiji wa Siasa kutoka CCM watakutana Dodoma Hotel. Unadhani nguri hawa
Membe
Sitta
January
Lowassa
Wassira wana mkakati gani?

Hiyo ilikuwa vunja mbavu au joke of the day, kwa mfano unaafiki Sendeka kuwa mtunisha misuli?
 
Magwiji wa Siasa kutoka CCM watakutana Dodoma Hotel. Unadhani nguri hawa
Membe
Sitta
January
Lowassa
Wassira wana mkakati gani?
HAWA WAKO KUCHAFUA KATIBA NA SIO KINGINE. WANATAKA KUGOMBEA URAISI DEZO. Uraisi dezo maanake ni kuwa, Yule raisi ambaye hashitakiwi wala kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye. Hivyo kifungu hiki cha madaraka ya uraisi kinafanyiwa mbinu za juu na chini ili kisidibetiwe kamwe.
 
Back
Top Bottom