Jamani, sometimes tukubali Riz1 anastahili uPrince,
tusiwe wasahaulifu, ni juzi tu tumefanya uchaguzi, pamoja na kuwa jk hakushinda!...lakini tumesahau kampeni ilikuwa ya familia baada ya wazee ccm kumsusia?...jk, riz1, na malkia salma walikuwa wanahaha mikoani kupiga kampeni..mmesahau? sasa kwanini asiwe Prince?
baba na mwana tunaiba na kecheka,...
Can you imagine Hillary Clinton meeting wish Sasha to pass a message to Obama?
and we expect Membe to rally for presidency!!!!!!!!!!!!!!!!Can you imagine Hillary Clinton meeting wish Sasha to pass a message to Obama?
...Seems like Mukama was declaring a war. I wonder if he has an army ready for the fight. I see a guerrilla war ahead.
baba na mwana tunaiba na kecheka,...
mtu mzima upo karibu sana na system...if next time you get to them this close,.do something right for your beloved country...you know what i mean.
When will that happen? lolKuna watu hawastaili kuwa viongozi. Let's be wise guys
........anatafuta urais kupitia dog sio, watanzania tumpinge huyu kwa nguvu zote, hana tofauti na mkuu wa kaya, ni mtumwa wa mawazo mgando, mtu wa kujipendekeza, unaweza sema na ukawa hujakosea kwamba ni mnafiki au kikwetu tunamwita mfyukunyuku.Yaani Membe, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa anahitaji kupeleka ujumbe kwa bosi wake kupitia mwana mfalme?
Tunaelekea wapi?
.......ni kweli, kama MembeKuna watu hawastaili kuwa viongozi. Let's be wise guys
Matusi yako ungeyasikia ungeenda kwa waganga
we dont have no prince wala sh!t
...Houston, we have a connection! Thats NASA, by the way.tusubiri Mukama ataongea nini,halafu tunaweza ku connect dots..