DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Hakika MVUA GAMBA aka JOHN du basi punguza kumuandama Mzee wa watu kwa mambo ya kizushi kiasi inakuwa ka utoto wa kadomee.Sijui umri wako lakini kwa sie tuliocheza mchezo huo miaka kumi na tano tunaona unacheza mchezo huo katika umri huu acha basi ukue John.
Tunga basi uongo unaokaribia ukweli,yani kwa lugha nyingine umiza kichwa kutunga uongo ili utuaminishe.Ukienda hivi Membe ukiludi pale Membe du payroll nyingine ni utumwa mbaya sana.Yani inakuwa kuwa Bosi nilazima akiingia kwenye JF akute thread yoyote ile kuhusu kumchafua Membe.
Jipange ama tafuta ID mpya.
Tunga basi uongo unaokaribia ukweli,yani kwa lugha nyingine umiza kichwa kutunga uongo ili utuaminishe.Ukienda hivi Membe ukiludi pale Membe du payroll nyingine ni utumwa mbaya sana.Yani inakuwa kuwa Bosi nilazima akiingia kwenye JF akute thread yoyote ile kuhusu kumchafua Membe.
Jipange ama tafuta ID mpya.