Kikao cha kumi cha bunge la JF

Kikao cha kumi cha bunge la JF

Sina imani na spika....naomba taratibu za kuwasilisha hoja binafsi!

Sina ina imani na spika, yuko kambi ya Cameroon oops no yuko kambi ya 2015, ila na imani ya naibu wake. Tupige kura ya maoni kumpandisha Naibu awe full spika.
 
Sina ina imani na spika, yuko kambi ya Cameroon oops no yuko kambi ya 2015, ila na imani ya naibu wake. Tupige kura ya maoni kumpandisha Naibu awe full spika.

Mbona wote kama wameingia mitini kulikoni, au wameitwa ikulu. Mwenye number ya spika pls.
 
me nikama pinda ningekuwa nimaamuzi tangu ningemfukuza kazi ocd wa arusha ila nasubiri wema akifika tu arusha nitamjulisha ili atoe maamuzi yake
 
Mbona wote kama wameingia mitini kulikoni, au wameitwa ikulu. Mwenye number ya spika pls.

Wameenda kwenye kamati za bunge, kaa chonjo usije sinzia waandishi wanatumulika tusije tukauza, hasa ile jamii foramu inatumiwa mno
 
me nikama pinda ningekuwa nimaamuzi tangu ningemfukuza kazi ocd wa arusha ila nasubiri wema akifika tu arusha nitamjulisha ili atoe maamuzi yake
Designer wa nguo wako wa sasa ni nani? Nimempenda.
 
Mh.mic khaah mh spika naomba bunge lijue kuwa ilani ya chama na katiba yetu inasisitiza haki za binadam kwahiyo ushoga siyo kosa eti shoga angu unasema je?
 
Mie naomba kwa leo tu niwe J.Ndugai,Mh.jogi kaa chini.....,nasema kaa chini usibishane na kiti,duh!!!!!!

Mheshimiwa naibu spika taarifa, ni taarifa muhimu kwa taifa...... .... nchi inapelekwa kubaya mheshimiwa, watanzania wanatakiwa wawe wase.ng.e wote ili walegee kama serikali yao ya ccm ilivyo legelege, sasa nasema wapigakura wangu wa jimbo la mwanza wanakusudia kujiondoa.
 
Mheshimiwa supika, mi naona hii hoja inalenga kunyang'anya haki za wanawake. Hawa watu wanataka 'ndude' zianze kushughulika na minjemba wakati wanawake bado wanazihitaji? Huko ni kuwanyang'anya wanawake haki yao ya 'kuhudumiwa'.
Siungi mkongo 'usen@e'.
 
Muheshimiwa Spika..

nadhani watu wasichaguliwe jinsi ya kuishi bali kila mmoja aishi jinsi anavyopenda.
Kila binadamu ana njia yake ila kuna wachache wanaodhani njia yao ni bora kuliko
njia ya fulani. Binafsi kama nlivyosema na ninazidi kusema sina shida na mashoga
kabisa. kwani wanachofanya nyumbani mwani hainihusu kabisa. napenda
kumuheshimu kila mtu na kingine sipendi kudharau au kujaji mtu.

Kuhusu ndoa na huo ni uchaguzi wao pia.
haini athiri kwa njia yeyote ile....

Asante muheshimiwa Spika
 
Muheshimiwa Spika..

nadhani watu wasichaguliwe jinsi ya kuishi bali kila mmoja aishi jinsi anavyopenda.
Kila binadamu ana njia yake ila kuna wachache wanaodhani njia yao ni bora kuliko
njia ya fulani. Binafsi kama nlivyosema na ninazidi kusema sina shida na mashoga
kabisa. kwani wanachofanya nyumbani mwani hainihusu kabisa. napenda
kumuheshimu kila mtu na kingine sipendi kudharau au kujaji mtu.

Kuhusu ndoa na huo ni uchaguzi wao pia.
haini athiri kwa njia yeyote ile....

Asante muheshimiwa Spika
Pamoja na yote uliyosema ndoa ya jinsia moja kwetu haipo Afrika tangu zamani hakuna iweje tuwaruhusu wazungu watupangie machafu yao na utamaduni wao mchafu ? Hatutaki hata hiyo misaada wakae nayo wao wenyewe uchafu wao hao wazungu uwe huko huko kwao hatutaki kuiga ukiga mwisho wake utakufa.
 
Nina muongo mmoja toka nimeanza maisha rasmi mkoani Arusha, lakini sijajua mjini hapa au hata nje ya mji Bange inalimwa wapi!.
Mnaojua tafadhali tuambieni ina nini cha ziada mnapolinganisha na ya sehemu zingine!
Ningeambiwa mirungi a.k.a miraa ningeelewa!
hahahaaaaaaaaaaaa.... hebu zunguka arumeru mkuu kwa kuingilia ngaramtoni kama unataka kutokea tengeru uone mambo

Ukiweza simama pale nkoaranga ulizia alfayo mzee wa kijiti
 
Pamoja na yote uliyosema ndoa ya jinsia moja kwetu haipo Afrika tangu zamani hakuna iweje tuwaruhusu wazungu watupangie machafu yao na utamaduni wao mchafu ? Hatutaki hata hiyo misaada wakae nayo wao wenyewe uchafu wao hao wazungu uwe huko huko kwao hatutaki kuiga ukiga mwisho wake utakufa.

kwanza kabisa una uhakika gani na ushahidi gani haukuwa tangu mwanzo.?

Si kubaliani na David Cameroon ku sukumia wa Africa kuwa na ndoa za ma
shoga . kama nlivyosema mwanzo kila mtu aishi maisha ayapendayo. na yeye
kutaka kusukumiza hili ni "Bullying" na sisi kuwakataa watu wa jinsia moja ni
bullying pia...

ni sababu gani inakufanya mpaka mpaka uwachukie mashoga kiasi hicho??
 
Mwongozo mh Spika: kifungu cha 14 ibara ya kwanza kinasema,mbunge atakuwa mwakilishi wa wananchi! Sasa ktk nchi yetu ya jf yupi ni mwanachi na yupi ni mbuge kama ulivyo toa ufafanuzi kuwa kila aliye mwanachama wa jf (raia wajf) ni mbunge?
 
Back
Top Bottom