Kikao cha Kamati Kuu ya CCM chaahirishwa

Kikao cha Kamati Kuu ya CCM chaahirishwa

ImageUploadedByJamiiForums1432298268.170058.jpg
Hawa Mama zangu wamezeeka sana,Sasa wangepumzika kwa kweli!!
Tunawapenda,lakini hii mikikimikiki wangepumzika tu!!
 
Katika watu makini ambao nimewahi kuwaamini kwa kiasi kikubwa ni pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya CCM, sina shaka na weledi wao wala uwezo wao katika kufanya maamuzi kwa maslahi mapana ya Chama na Taifa.

Kila la heri wajumbe wa kamati Kuu.
 
naomba kufahamishwa kwan hicho kikao ndicho kinaenda kupitisha wagombea wa nafasi ya uraisi ndani ya ccm
 
haa haa ndani ya ccm hakuna wa kumzuia lowasa kamwe. ingawa lowasa ni zao la ccm hakuna jipya.
 
kikao cha kamati kuu ya halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi kilichokuwa kikutane leo saa tano asubuhi, kimeahirishwa kutokana na kikao cha maadili chini ya mwenyekiti wake ndugu jakaya mrisho kikwete kilichokaa mapema asubuhi kuchukua muda mrefu kuliko ilivyotegemewa kwenye ratiba.

Hivyo kikao cha kamati kuu kinatarajia kufanyika majira ya saa kumi jioni ya leo, na kwamba wajumbe ambao walishafika eneo la ukumbi wa mikutano wa ofisi za makao makuu ya ccm maarufu kama whitehouse wametakiwa kuondoka na kurejea tena baadae saa kumi alasiri.

Kwa taarifa sahihi za mijadala na maazimio ya kikao hicho cha kamati kuu, fuatilia akaunti rasmi ya twitter ya chama cha mapinduzi kwa anuani hii;
attachment.php


cfm6dwqukaa4oj1.jpg


cfm5rc4ugaeh6un.jpg


cfm6vqtwiaamgat.jpg

wajumbe wa kamati kuu wakijiandaa na kikao kinachotegemea kuanza muda mfupi ujao.

watahangaika lakini mwisho wa siku watakalia tu hakuna namna nyingine lazima itaingia tu,na dawa kukolea mwilini
 
Kiapo namba nne cha mwanachama wa CCM: "Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala sitatoa rushwa". Rais akitoka CCM, ndiye pia anayekuwa Mwenyekiti wa CCM. Sasa basi Mtoa rushwa NA.1 Lowassa, anawezaje kuwa Rais na pia Mwenyekiti wa CCM, bila kufuta kwanza kiapo hicho???? Lowassa tupa kuleeeeeeeee!!!!!!!

Gomegume sijui team-Membe wanakulipa shilingi ngapi?kila uzi wowote unaomuhusu Lowassa wewe upo tu na vijembe vyako.
 
Kipindi hiki na hizi cholesterol hazitawaacha magamba lazima waokote kadhaa hapo..
 
Nani CCM anaweza kukemea rushwa,mbona wote ni sawa tu.Ni mafisadi wa kutupwa!

Yaani hawa magamba walibugi step sana,wamefuga jini kwenye chupa sasa limetoka wanashindwa kulidhibiti. Huyu jamaa ilitakiwa wakati ule ule wa Mkama wavuane magamba mapema wangepata muda mrefu wa kuponya majeraha but kwa sasa its too late.
 
naomba kufahamishwa kwan hicho kikao ndicho kinaenda kupitisha wagombea wa nafasi ya uraisi ndani ya ccm

Nadhani kikao ndio kitapuliza kipenga ili watangaza nia waanze kujitokeza
 
Back
Top Bottom