Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Waambie mugabe anauliza Malkia anastaafu lini?
Ufalme haunaga kustaafu.........labda ku abdicate tu kama huyo Mfalme anataka
Waambie mugabe anauliza Malkia anastaafu lini?
Mkuu asante kwa ufafanuzi.Uingereza kwa sasa haina Archduke, nchi kama Austria na Prussia enzi zile walikuwa na hii title.. na mara nyingi ilikuwa inashikiliwa na Heir apparent (Mrithi wa kiti). Na Archduke simply ni head of all dukes... Refer Archbishop.
Pia title ya Duke ni equivalent na Prince, ingawa Prince ni wale waliotoka kwenye Royal family tu.. ndio maana Uingereza Princes wote pia ni Dukes.
Duke ambaye siyo Prince anaitwa Peer, na anatoka katika Noble family (familia ya kiheshima).. sio Royal family.
noble families zinahold titles nyingi.. kwa uingereza zinakuwa chini ya familia ya kifalme na zinaitwa peerage families..
Ranks zao ni..
1. Dukes and Duchesses
2. Marquess and Marchioness
3. Earl/Count and Countess
4. Viscount and Viscountess
5. Baron and Baroness
Hao hapo juu ni wale ambao wanarithi hizo title (hereditary peerage), nikimaanisha ikiwa baba ana title ya Duke, akifariki mtoto anairithi na hii huendelea kwenye familia vizazi na vizazi.
Kuna wale wanaopewa heshima na Malkia au Mfalme lakini hairuhusiwi kurithisha title yao kwa watoto.. na wengi wanakuwa na title ya LORD au LADY na vilevile BARON au BARONESS.. refer Margareth Thatcher alipewa title ya Baroness.. so jina lake lilikuwa Baroness Thatcher.
Kuna pia hawa Knights, hawa hupewa heshima ya Maisha na Malkia au Mfalme lakini hawapo kwenye hili kundi la Peers.. Knights huwa na title ya SIR na baadhi ya watu maarufu kama Elton John na Richard Branson wanayo hii title.
Kama una swali lolote uliza..
Mkuu asante kwa ufafanuzi.
Kuna house, mfano ukifatilia hii story utaskia house Fulani wanataja, hizi house zinahusikaje katika utawala?. Mosi
Pili, Naomba nielezee warithi wa queen elizabeth kuanzia atakaye mfuatia saivi mpk yule mtoto wa juzi Charlotte.
Tatu, kuna tetesi kuwa princess Diana aliuwawa sababu ya kutaka kuolewa na mwarabu. What's your comment?
Huu uzi utakuwa darasa kubwa kwangu. Pia Kama umeiva katikamaswala ya utawala wa kanisa katoliki utakuwa msaada kwangu.
Natanguliza shukrani.
Waambie mugabe anauliza Malkia anastaafu lini?
Hiyo ipo nchi nyingi ulaya, na ni kawaida kama jinsi na sisi tuna upinzani na chama tawala. Sio wote wataridhika na mfumo uliopo.Mkuu Makanjamna, nasikia kuna vimaneno Maneno kuwa kuna waingereza wanatamani waachane na huo mfumo wa Umalkia na Ufalme Queen and King. Je ni kweli ? Kutatokea impakt gani hilo liliwezekana ? Je, huu ni mfumo mzuri katika zama hizi ?
Mkuu Sana!Hiyo ipo nchi nyingi ulaya, na ni kawaida kama jinsi na sisi tuna upinzani na chama tawala. Sio wote wataridhika na mfumo uliopo.
Ila tunajua kuwa wafalme na Malkia wengi duniani hasa nchi za Ulaya hawana nguvu kubwa kisiasa, wengi ni figureheads tu wa nchi na wapo pale kama alama ya umoja kwenye siasa za vyama, wapo kuwaunganisha wananchi wa itikadi zote.
Kwa uingereza, Malkia na familia ya kifalme bado wanakubalika (high approval rates) hivyo ni ngumu kwa siku za karibuni kuondolewa. Na vilevile sio rahisi sana kumwondoa Malkia maana utakuwa umeivunja U.K. na hilo ni gumu sana ukizingatia bado wana maumivu ya BREXIT.
Bora hata angebaki jeshini tu.......kuoa kwa wenye nazo ni kujitoa mhanga
Huyu ndiyi kiongozi wa ma mario dunia nzima..Prince Philip amestaafu.
ahahahha, inawezekana malkia ana vyeti feki vya kumfanya awe malkia. Atumbuliwe tu.Labda nao wana diskasi vyeti feki
ahahahha, inawezekana malkia ana vyeti feki vya kumfanya awe malkia. Atumbuliwe tu.
Mkuu Sana!
Kuhusu UK mbona kwa sasa naskia eti wale wa Scottish wanataka kujitoa UK?
Pili, mbona chama cha labour kimekuwa hakina ushawishi Sana siku hizi za karibuni?
Nawasilisha.
Uingereza kwa sasa haina Archduke, nchi kama Austria na Prussia enzi zile walikuwa na hii title.. na mara nyingi ilikuwa inashikiliwa na Heir apparent (Mrithi wa kiti). Na Archduke simply ni head of all dukes... Refer Archbishop.
Pia title ya Duke ni equivalent na Prince, ingawa Prince ni wale waliotoka kwenye Royal family tu.. ndio maana Uingereza Princes wote pia ni Dukes.
Duke ambaye siyo Prince anaitwa Peer, na anatoka katika Noble family (familia ya kiheshima).. sio Royal family.
noble families zinahold titles nyingi.. kwa uingereza zinakuwa chini ya familia ya kifalme na zinaitwa peerage families..
Ranks zao ni..
1. Dukes and Duchesses
2. Marquess and Marchioness
3. Earl/Count and Countess
4. Viscount and Viscountess
5. Baron and Baroness
Hao hapo juu ni wale ambao wanarithi hizo title (hereditary peerage), nikimaanisha ikiwa baba ana title ya Duke, akifariki mtoto anairithi na hii huendelea kwenye familia vizazi na vizazi.
Kuna wale wanaopewa heshima na Malkia au Mfalme lakini hairuhusiwi kurithisha title yao kwa watoto.. na wengi wanakuwa na title ya LORD au LADY na vilevile BARON au BARONESS.. refer Margareth Thatcher alipewa title ya Baroness.. so jina lake lilikuwa Baroness Thatcher.
Kuna pia hawa Knights, hawa hupewa heshima ya Maisha na Malkia au Mfalme lakini hawapo kwenye hili kundi la Peers.. Knights huwa na title ya SIR na baadhi ya watu maarufu kama Elton John na Richard Branson wanayo hii title.
Kama una swali lolote uliza..