Tetesi: Kikao cha Dharura namna na watu wa kumjibu Gwajima

Tetesi: Kikao cha Dharura namna na watu wa kumjibu Gwajima

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Kuna habari nimepata kuwa kuna kikao kimeitishwa leo saa 4 kwa dharura kuangalia namna ya kumjibu au ku deal na Gwajima. Katika maongezi ya simu mtu mmoja alisikika akisema wanahitaji utulivu maana Gwajima anaonekana ana watu nyuma yake. Na yeye huwa si mwoga so wajipange vizuri.

Katika mazungumzo inaonekana pia kuwa kuna ambao wanasema maji yasikorogwe zaidi. Gwajima ameongea machache katika mengi anayoyafahamu so wanapaswa waangalie wasije wakamfanya amwagike zaidi. Ni bora waende naye kwa tahadhari sana.

Kuna wasanii wameanza pigiwa simu na masheikh na baadhi ya wachungaji njaa watoe matamko. Masheikh wamekubali wachungaji watatu wamekataa kuna wawili wamependekezwa hawajapatikana kwa simu. Hawa wanaandaliwa nao waje kujibu.

Vijana wengi wameambiwa sasa waanze kukumbushia ile video Gwajima akipiga show. Gwajima hili aliambiwa akasema siyo issue si ni mwanaume? So kama alikuwa anapiga show maana yake yupo sahihi.

Hali imekuwa mbaya kiasi kikubwa. Fisi wanaoongozwa na Chura wanahangaika, kuwa Gwajima anapewa taarifa na nani. Kila mara huwa anaonekana kuwa mbele yao. Lakini wameanza tafutwa pia watu walioonekana kuwa nyuma yake kwenye press. Hilo ni pendekezo kutoka kwa Mkubwa mmoja wa vyombo vya dola. Kuwa hao waliokuwa nyuma yake wakati wa press nao wafikiwe.

Tutapata majibu kamili baada ya saa 4 . Maana ndo wanapanga kuzungumza. Machawa wengi kwa sasa wanapima upepo. Hawajui waseme au wajibu nini.
 
Kuna habari nimepata kuwa kuna kikao kimeitishwa leo saa 4 kwa dharura kuangalia namna ya kumjibu au ku deal na Gwajima. Katika maongezi ya simu mtu mmoja alisikika akisema wanahitaji utulivu maana Gwajima anaonekana ana watu nyuma yake. Na yeye huwa si mwoga so wajipange vizuri.

Katika mazungumzo inaonekana pia kuwa kuna ambao wanasema maji yasikorogwe zaidi. Gwajima ameongea machache katika mengi anayoyafahamu so wanapaswa waangalie wasije wakamfanya amwagike zaidi. Ni bora waende naye kwa tahadhari sana.

Kuna wasanii wameanza pigiwa simu na masheikh na baadhi ya wachungaji njaa watoe matamko. Masheikh wamekubali wachungaji watatu wamekataa kuna wawili wamependekezwa hawajapatikana kwa simu. Hawa wanaandaliwa nao waje kujibu.

Vijana wengi wameambiwa sasa waanze kukumbushia ile video Gwajima akipiga show. Gwajima hili aliambiwa akasema siyo issue si ni mwanaume? So kama alikuwa anapiga show maana yake yupo sahihi.

Hali imekuwa mbaya kiasi kikubwa. Fisi wanaoongozwa na Chura wanahangaika, kuwa Gwajima anapewa taarifa na nani. Kila mara huwa anaonekana kuwa mbele yao. Lakini wameanza tafutwa pia watu walioonekana kuwa nyuma yake kwenye press. Hilo ni pendekezo kutoka kwa Mkubwa mmoja wa vyombo vya dola. Kuwa hao waliokuwa nyuma yake wakati wa press nao wafikiwe.

Tutapata majibu kamili baada ya saa 4 . Maana ndo wanapanga kuzungumza. Machawa wengi kwa sasa wanapima upepo. Hawajui waseme au wajibu nini.
SAMIA anacho jua ni kuumiza na kuua akiamini atakuwa salama
 
Kwani Lucas Mwashambwa ametumwa na kikao gani kumjibu huyo Askofu Gwajima Siku ya Jumatatu saa 5:00 asubuhi? 🐼

Aaaah huyu si wa kumwesabia. Huyu siyo riziki huwa anakurupuka tu kutegemeana na alilala na nani usiku wa kuamkia siku hiyo. CCM wanamjua pia udhaifu wake... So kuna mambo wanaona watajiweka sana wazi. Huyu na wenzie watatu wamo humu si Riziki.
 
Kuna habari nimepata kuwa kuna kikao kimeitishwa leo saa 4 kwa dharura kuangalia namna ya kumjibu au ku deal na Gwajima. Katika maongezi ya simu mtu mmoja alisikika akisema wanahitaji utulivu maana Gwajima anaonekana ana watu nyuma yake. Na yeye huwa si mwoga so wajipange vizuri.

Katika mazungumzo inaonekana pia kuwa kuna ambao wanasema maji yasikorogwe zaidi. Gwajima ameongea machache katika mengi anayoyafahamu so wanapaswa waangalie wasije wakamfanya amwagike zaidi. Ni bora waende naye kwa tahadhari sana.

Kuna wasanii wameanza pigiwa simu na masheikh na baadhi ya wachungaji njaa watoe matamko. Masheikh wamekubali wachungaji watatu wamekataa kuna wawili wamependekezwa hawajapatikana kwa simu. Hawa wanaandaliwa nao waje kujibu.

Vijana wengi wameambiwa sasa waanze kukumbushia ile video Gwajima akipiga show. Gwajima hili aliambiwa akasema siyo issue si ni mwanaume? So kama alikuwa anapiga show maana yake yupo sahihi.

Hali imekuwa mbaya kiasi kikubwa. Fisi wanaoongozwa na Chura wanahangaika, kuwa Gwajima anapewa taarifa na nani. Kila mara huwa anaonekana kuwa mbele yao. Lakini wameanza tafutwa pia watu walioonekana kuwa nyuma yake kwenye press. Hilo ni pendekezo kutoka kwa Mkubwa mmoja wa vyombo vya dola. Kuwa hao waliokuwa nyuma yake wakati wa press nao wafikiwe.

Tutapata majibu kamili baada ya saa 4 . Maana ndo wanapanga kuzungumza. Machawa wengi kwa sasa wanapima upepo. Hawajui waseme au wajibu nini.
Hawawezi kuingia kichwa kichwa hizo kete zinasukumwa kwa akili sana.Hadi kuongea anataarifa zao zote tena kwa usahihi.
 
Kuna habari nimepata kuwa kuna kikao kimeitishwa leo saa 4 kwa dharura kuangalia namna ya kumjibu au ku deal na Gwajima. Katika maongezi ya simu mtu mmoja alisikika akisema wanahitaji utulivu maana Gwajima anaonekana ana watu nyuma yake. Na yeye huwa si mwoga so wajipange vizuri.

Katika mazungumzo inaonekana pia kuwa kuna ambao wanasema maji yasikorogwe zaidi. Gwajima ameongea machache katika mengi anayoyafahamu so wanapaswa waangalie wasije wakamfanya amwagike zaidi. Ni bora waende naye kwa tahadhari sana.

Kuna wasanii wameanza pigiwa simu na masheikh na baadhi ya wachungaji njaa watoe matamko. Masheikh wamekubali wachungaji watatu wamekataa kuna wawili wamependekezwa hawajapatikana kwa simu. Hawa wanaandaliwa nao waje kujibu.

Vijana wengi wameambiwa sasa waanze kukumbushia ile video Gwajima akipiga show. Gwajima hili aliambiwa akasema siyo issue si ni mwanaume? So kama alikuwa anapiga show maana yake yupo sahihi.

Hali imekuwa mbaya kiasi kikubwa. Fisi wanaoongozwa na Chura wanahangaika, kuwa Gwajima anapewa taarifa na nani. Kila mara huwa anaonekana kuwa mbele yao. Lakini wameanza tafutwa pia watu walioonekana kuwa nyuma yake kwenye press. Hilo ni pendekezo kutoka kwa Mkubwa mmoja wa vyombo vya dola. Kuwa hao waliokuwa nyuma yake wakati wa press nao wafikiwe.

Tutapata majibu kamili baada ya saa 4 . Maana ndo wanapanga kuzungumza. Machawa wengi kwa sasa wanapima upepo. Hawajui waseme au wajibu nini.
Gwajima ni mtu mdogo sana tena zaidi ya Martha Karua. Sasa kama Martha Karua kaicha nchi unshaken, unafikiri Gwajima ataifanya chochote! Subiri uone!
 
Back
Top Bottom