Hiki kiswanglish bana!! Hapa nimetoka kapa!!
*Iramba Junior:
"My friend it to late for CCM kuwahi train
Vipi kikao hakijaisha mtujuze yaliyojiri mliopo huko? Au wametoka wamefungwa makufuri midomoni kama kawaida yao?
Part Couscous!!
Bado wako ndaniVipi kikao hakijaisha mtujuze yaliyojiri mliopo huko? Au wametoka wamefungwa makufuri midomoni kama kawaida yao?
hali ni ngumu sana....kuna fitna inafanyika ili deo filikunjombe asitoe ushadi wake bungeni....
hahahaa,,:msela::msela:
yamewabana leo!!
hali ni ngumu sana....kuna fitna inafanyika ili deo filikunjombe asitoe ushadi wake bungeni....
Mpendwa MU-SIR mi nilikuwa najaribu kurekebisha hiyo sentensi yenyewe angalau watu waielewe kama mimi nilivyoielewa, si umeona nawe umeielewa, mwenzio REJAO hakuelewa kabisa.
hawa jipya ubinafisi na ushabiki utawatafuna kuanzia bunge hadi kwenye familia zao
"WATALIJUA JIJI" mwaka huu