Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 944
- 1,628
Habari tena!
Leo kijiweni mzee mjuaji sana (Kamugisha) alikuja na jibu baada ya kuulizwa jana kuwa kwanini hawajawahi kusikia Mzee yeyote anaitwa KELVIN.
SABABU!
Baada ya mzee kufikiria akaja na jibu kuwa, jina la KELVIN lilikuja Tanzania miaka ya 90's hivyo lilianza kutumika kuanzia mikoa ya Mwanza na Dar na akasema kuwa wenye umri mkubwa kwasasa wana 35 kwasababu hiyo hadi sasa KELVIN wengi bado ni vijana.
Tutegemee kupata wazee wenye majina ya KELVIN ifikapo mwaka 2040 - 2060.
Mmeridhika na UTAFWITI???
Leo kijiweni mzee mjuaji sana (Kamugisha) alikuja na jibu baada ya kuulizwa jana kuwa kwanini hawajawahi kusikia Mzee yeyote anaitwa KELVIN.
SABABU!
Baada ya mzee kufikiria akaja na jibu kuwa, jina la KELVIN lilikuja Tanzania miaka ya 90's hivyo lilianza kutumika kuanzia mikoa ya Mwanza na Dar na akasema kuwa wenye umri mkubwa kwasasa wana 35 kwasababu hiyo hadi sasa KELVIN wengi bado ni vijana.
Tutegemee kupata wazee wenye majina ya KELVIN ifikapo mwaka 2040 - 2060.
Mmeridhika na UTAFWITI???