kwani wao ndio wanajua leo hicho ndio chama chao Wakaskazini.
Tulianza kwenye majiji kama Arusha, Mwanza, Mbeya, DSM na sasa tunamalizia na Vijijini.
uhuru wa kweli utapatikana kabla ya 2015
kwani wao ndio wanajua leo hicho ndio chama chao Wakaskazini.
Hemwa hemwa za kukihama chama cha mapinduzi zinaendelea ambapo safari hii wananchi katika jimbo la Simanjiro wanatarajia kutangaza nia yao ya kukihama chama hicho jumatano hii.
Source plz!tuache kurushana roho hapa!Mods Were are you?
orkesmet,sendeka ana kitegauchumi chake pale cha zile nyumba kabla ya kulala unatkiwa ujaze jina kwenye kitabu,mara nyingi huwa kinaandikwa unakotoka orkesmet anakoenda orkesmet
kwani wao ndio wanajua leo hicho ndio chama chao Wakaskazini.
orkesmet,sendeka ana kitegauchumi chake pale cha zile nyumba kabla ya kulala unatkiwa ujaze jina kwenye kitabu,mara nyingi huwa kinaandikwa unakotoka orkesmet anakoenda orkesmet
kwani wao ndio wanajua leo hicho ndio chama chao Wakaskazini.
lianza na Mungu na tutamaliza naye
Kesho usikose kuweka updates za kijiji hicho kukubali juhudi za kujiunga na kambi inayopigania ukombozi wa walio wengi.
M2 anayesema CDM ni ya watu wa kaskazini, ana matatizo ya akili( tahira) huko Border ya wajanja wa Tunduma je? ni kaskazini? Apelekwe mirembe haraka, hatudanganyiki wala kushawishika