Ngoja waje wenyewe waombe uthibitisho hapo shauria yako dada LDNi kama vile mtu mfupi anavyotumia nguvu na sauti kubwa kuonyesha kwamba mimi nipo.......Ili asifunikwe na warefu yani.
Ahii staki kabisa....Practically ni ngumu bwana.
Ngoja waje wenyewe waombe uthibitisho hapo shauria yako dada LD
Jinsi ni nini Kongosho
Dah hulka ya mwanaume wa kiafrika sijui hao wengine lakini wakiafrika ni kuwa juu ya mwanamke, kutambuliwa nafasi yake, kuheshimiwa ikibidi kuabudiwa kabisa.....ndio walivyo kwa asili ni wachache sana labda kutokana na malezi labda au kupondeka moyo tu wanaweza wasiyatamani hayo. Kwa hiyo ikiwa kuna kitu ambacho anahisi/ona kwa hili huyu mwanamke anaoneka yuko juu yangu which can be true atajitahidi kutunisha misuli ya ziada ili mradi tu uitambue nafasi yake.
Ni kama vile mtu mfupi anavyotumia nguvu na sauti kubwa kuonyesha kwamba mimi nipo.......Ili asifunikwe na warefu yani.
Ahii staki kabisa....Practically ni ngumu bwana.
Sorry Kongosho, we ni jinsi gani?
Kumbe haya babaJinsi ni jinsia!
Kumbe haya baba
nimekubali ulichosema ni hicho tu kakaUlitaka kusema nini mdogo wangu?
Nadhani kwenye mahusiano mwanaume anatakiwa ajiamini hata kama kielimu yupo chini lakini pia kama hana future plan ndio kabisa confidence inapungua, nawashangaa hata mwanaume mwenye diploma nae hajiamini kwa mwenye shahada wakati hapa kama atajipanga vizuri na yeye atakuwa na shahada ikiwezekana na zaidi. Kinachotakiwa mwanaume ajiamini, awe future oriented na akili ya maisha in addition awe tayari kujiendeleza.
Ndio hivyo....wanaume wanataka hata mkikaa Sebuleni inasomwa taarifa ya habari pale wote mnaona lakini angependa wewe umuulize kasema je eti....au sasa ndio nini hivyo wanamaanisha...basi akuelezee paleeee ndio furaha yake. Sio we uanze ooh unajua Ndugai shenzi kabisa kamstopisha Sugu leo bwana..unaanza kuelezea weee......atakupotezea.
Ila we anza hivi umemuona Leo Ndugai Bungeni alivyomuambia Sugu? Hapo muache akuelezee kama aliona/sikia na maswali muulize akujibu. hapo sasa dah life linakwenda.
Ohh eti umepita JF leo wakati hata Intenet hajui ni nini....na ikiwa amepita utasikia kwa nini? Kuna ile habari hivi hivi...muachie yeye aseme Ni mambo ya ajabu sana nchi hii.....kama pale hivi hivi...afu wewe hata ulichokielewa unakileta kama swali, sasa kama wamesema hivi, walikuwa na maana gani? Muachie ajibu....
NDO HULKA YA WANAUME hiyoo...we ukijifanya unajua anakupotezea tu au ukimbishia anakuambia Ina maana unaona mi kenge sikuelewa pale au?
kama nimeelewa vizuri, inaonekana unaogopa kuchezewa na lengo lako ni ndoa bila kuangalia kiasi cha mapenzi ulichonacho kwa mwanaume. Je hakuna wa level yako anayetaka kukuoa?
Kama unampenda huyo mvulana kikwelikweli na unauhakika kuwa anakupenda kweli mkubalie akuoe,hatokuwa hana shughuli ya kufanya kilasiku, siku moja atapata.
Lakini kama unachotaka ni ndoa tu na wewe uwe umeolewa, basi fahamu kuwa utamnyanyasa na utam-treat kama mtoto mdogo, na yeye atatoa malalamiko hayohayo ambayo wadau wameshaeleza. Mapenzi sio maigizo hautaweza ku-act kila siku, utachemsha tuu.