SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,068
Awam hii ni ya KUFUKUA MAKABURI TU.Unafukua makaburi!???
Ukiskia jambo linakik ujue KABURI HILO
Awam hii ni ya KUFUKUA MAKABURI TU.Unafukua makaburi!???
Tuendelee kuomba Mungu tupo katika kipindi cha mpito nchi haina viongozi wenye vichwa bali ina viongozi wenye matikiti na mabogaAwam hii ni ya KUFUKUA MAKABURI TU.
Ukiskia jambo linakik ujue KABURI HILO
Mkuu unaijua thaman ya Boga na tikiti?Tuendelee kuomba Mungu tupo katika kipindi cha mpito nchi haina viongozi wenye vichwa bali ina viongozi wenye matikiti na maboga
Mkuu unaijua thaman ya Boga na tikiti?
Usifananishie na vitu vya ajabu ajabu
....Mkuu watoa mkopo wanajua kila kitu, ila kuna cha juu chao hapoNadhani watoa huo mkopo hawana weredi na kazi yao maana mkopo wa kikundi lazima wanakikundi waweke sahihi na kuwe na watu zaidi ya wawili kuchukua mkopo
Hapo sawa mkuu maana nimeona hatuna watalaamu kwenye mambo ya mikopo"Mikopo hiyo ni DIRI"
Umesahau MABILION YA JK?
...Mkuu tabu kivipi? Kijana ametumia vema akili yake, na pesa ni kwa ajili ya vijana...wangetakiwa wasubiri je marejesho angefanya au la.wapare wachaga wote taabu sana,bora wasukuma.wapi mshana jr.
Ndo maana wamemchoma.Hapo sawa mkuu maana nimeona hatuna watalaamu kwenye mambo ya mikopo
Hapo ilikuwa dili inaonekana dogo kasepa bila kuwatoa
Kama kuna cha juu dogo alisepa nacho wakaamua wamchome tu....Mkuu watoa mkopo wanajua kila kitu, ila kuna cha juu chao hapo
NaonaNdo maana wamemchoma.
So what next baba swalehe. ??Vyuma vimekaza , peni za wanafunz zmekaza , k za wake zetu zmekaza .... Aah kila kitu mkazo
Msangi ni wanyaturu kakwapare wachaga wote taabu sana,bora wasukuma.wapi mshana jr.
kukazanaSo what next baba swalehe. ??