Wapiga debe na bodaboda tu wanalalamika wamekua wengi, sasa wewe utapata kazi gani unafikiri..?Reform bila chakula mzee
Mwenyezi Mungu akufungulie milango katika juhudi zako.Kijana niko dar natafuta mishe mimi sichaguii kazi ni kazi hata shamba nakaaa namba yangu 0685059306 mwenye kibarua tusaidiane na mungu awabariki sana
oky kaendelee kuteseka na kazi za watuNitapata tuuu