Kijana mzaliwa wa kenya aolewa kishoga South Africa

Mkuu nipo namsubiria Jirani yangu MK254 aje na fact mana hajawahi shindwa. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hehehe!! Huu uzi mumeni-tag hadi basi, sijajua mnategemea nizuie hiyo ndoa au nifanye nini, huyo kaamua hivyo hivyo huko Kusini kwa Msouth hamna jinsi, wafumuane marinda maisha ni yao kwa raha zao pumbavu zao hehehehe, hivyo Watanzania acheni wivu.
 
Midanganyika mnayapenda Sana matukio Kama haya.
Wadaku na wambea wenye tabia duni za kiarabu.

Mipumbavu tu,hilo liinchi lina raia asilimia 99 wapumbavu.
LDC.
 
South Africa nchi yenye sheria pendwa za shetani wataishi kwa amani. Mtangazaji mwenye followers kibao Somizi (shoga) walioana na basha wake na sherehe kuhudhuliwa na wazazi wa pande zote hadi kichefuchefu
 
"Tabia duni za kiarabu" zina rangi gani?
Eti kujisafisha na maji ukitoka maliwato πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tafadhali usijaribu kuoga kwenye swimming pool ambayo mkenya kaoga humo maana huwa hawatumii maji Wanatumia tishu wanaacha chenga chenga za mzigo zile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Labda kama huyo mkenya ameishi Tanzania akapata ustaarabu kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…