Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,125
- 2,859
Sipati picha Huyo Mkenya Kifinyo atakachokuwa anapata
Sipati picha Huyo Mkenya Kifinyo atakachokuwa anapata
Hahaha huyo jamaa kawadhalilisha Nyang'auNimeona hizi tag nikadhani labda kuna Bombadia lingine limetua twende zetu tukateguke viuno. Kumbe ni huu uchafu na upumbavu? Alaaniwe sana huyo jamaa. Ila nyie wabongo pia mkome, hii tabia yenu ya kufukia vichwa mchangani na kujitia hamnazo haituhadai kama mnavodhania. Naskia huko Magufulistan kuna mashoga wana mashabik kibao na mafollower wengi IG zaidi hata ya IGP.
Sana. Ila tufanyeje sasa? Hata vichaa pia huwa wana kwao na wana jamaa zao.Hahaha huyo jamaa kawadhalilisha Nyang'au
Hahaha huyo jamaa kawadhalilisha Nyang'au
eti long time fiancée...dunia inaenda kasi sana
Mimi nilikuwa nashangaa kwanini wakenya wanalilia sana SA kumbe wanatafuta kuolewa kishoga hukoHehehe!! Sasa sijui mbona inawauma hivi, fursa za ushoga zipo huko South, kwanza kwa Watanzania mnakwenda bila visa, hawafai kumuonea wivu huyo Mkenya, waanze kujitangaza tu hayo mabwabwa ya South yatawaita na wao pia wakafumuane huko huko, si ndio SADC yenu huko.
Napitaga Swahiba na mwanzo wa kumfuatilia ni hizi ligi za Ujirani.
Maana huwa anajitahidi sana kula sahani moja na wa Tz.
Kwahiyo jamaa kakubali kufukuliwa mtaro
picha yake pleaseNilisikia hata Jeff wa CNN zamani na Jaji wa East Africa got talent naye wale wale
Huyo ndio mimi sasaWe mbona umetoa picha nzuri umeweza mbaya kwenye profile rudisha ileile ya zamani
Duuh!! 🤔🤔🤔🤔Haaa wewe umjui huyo mkenya mpumbavuu MK254 historia yake Kwa kifupi hatokuja kumsahau magufuli huyo mk254 alitelekeza familia yake Kenya Kwa zaidi ya miaka10 na kujificha Tanzania kula bata na mademu wa bongo sasa magu alipo shika nchi mambo yakawa tifauti kakimbilia kwao Kenya Kwa uchungu mkubwa hivyo ana hasira na tz balaa
Hawashindi wa UgKenya ndo wameleta ushoga east
Kenya si hadi huwa wanaandamana kabisa 😂😂😂Hawashindi wa Ug
Wewe ni shoga nini, mbona umecatch mafeelings hivyo, itakuwa wanakutindua marinda huko kenya.Midanganyika mnayapenda Sana matukio Kama haya.
Wadaku na wambea wenye tabia duni za kiarabu.
Mipumbavu tu,hilo liinchi lina raia asilimia 99 wapumbavu.
LDC.
Dunia imeshavaa chupi kipenzi changu Khantweeti long time fiancée...dunia inaenda kasi sana
Hatari sanaDunia imeshavaa chupi kipenzi changu Khantwe View attachment 1230661