Mzee Kabwanga
Member
- Apr 27, 2012
- 68
- 18
View attachment 97512View attachment 97513View attachment 97514View attachment 97515
kATIKA KILE KINACHO ITWA MOVEMENT FOR CHANGE, KIJANA GODSON MBAGA Ameendelea kukonga nyoyo za wananchi wa jimbo la same magharibi kwa mikutano anayoendelea kuifanya jimboni, Hali hii imesababisha mbunge wa jimbo hilo David Matayo David kuhangaika usiku na mchana akifanya mawasiliano na viongozi wa ccm wilaya kubuni njia za kumdhoofisha kijana huyu lakini amegonga mwamba.
Godson Yupo same kwa ziara yake ya kufungua misingi na matawi na kuhamasisha wananchi kuupokea vuguvugu la mabadiliko.
kwa matukio wasiliana na +255752225501
Mkuu awaambie kuhusu hayo malori ya Willy yanayosomba mchanga kila saa kuwa ni ufisadi huo. Nataraji ndg zangu wataamka. Nahavache Vaasu. Viva La CDM.
Mbona hao raia wanao msikiliza hata kumi hawafiki?Huyu kijana nimependa sana juhudi zake na mipango yake ya kupeleka elimu ya Uraia huko vijijini, huu ni wakati wa wapare kupokea mabadiliko.
CHADEMA yatosha!!!!
Nyuma yake tena? Una taka kumlibelary?Huyu kijana ni mfano wa kuigwa,sio wale wanaojiita wabunge kwenye majukwaa na akuna harakati zozote wanazofanya,pambana kijana tuko nyuma yako,aluta continua
I like his name GODSON lol!
ila jamani hivi kweli walishindwa hata kumtafutia meza ya mwl ya kufundishia apande?? hauoni kwamba ni hatari sana anaweza kudondoka mkasingizia kalogwa?? ama ni mapepo??
Ukiwa CCM kila kitu ni kuchakachua tu, wapo akina Dk. Nchimbi, Dk. Nagu na Prof. Tall water! Wote hawa waliupata Udokta kabla. Chezeya gamba weye, ndo maana hawatoki humo!
Mbona hao raia wanao msikiliza hata kumi hawafiki?
Pambana kijana