Ha ha haUmenikumbusha mbali Mkuu, kuna mtu kule home hiyo kitu iliwahi kung'oa nanilii za huku chini alililia balaa.
SidhaniHa ha ha
Nanilii ziliota tena?
Aisee naomba umnunulie nguo mpya nitakulipa.View attachment 1764804View attachment 1764805View attachment 1764810
Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili" pikipiki yake.
Hapo nikasimama na kumuuliza ametoka wapi, kasema ametoka mashine ya kusaga, katumwa na mama!
Hii imenikumbusha na mimi utotoni!
Hongera sana Exaud!
View attachment 1764804View attachment 1764805View attachment 1764810
Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili" pikipiki yake.
Hapo nikasimama na kumuuliza ametoka wapi, kasema ametoka mashine ya kusaga, katumwa na mama!
Hii imenikumbusha na mimi utotoni!
Hongera sana Exaud!
Iringa hizi mambo wanaita BAGADU. Zipo pia Kigoma na TangaView attachment 1764804View attachment 1764805View attachment 1764810
Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili" pikipiki yake.
Hapo nikasimama na kumuuliza ametoka wapi, kasema ametoka mashine ya kusaga, katumwa na mama!
Hii imenikumbusha na mimi utotoni!
Hongera sana Exaud!