Kijana, don't settle with your agemate

Ujumbe wako Upo sahihi ila kumtolea mfano riyana umepuyanga pesa zipo yule hazeeki kizembe.

Kuna dogo nimempiga gape la miaka 10 aisee yeye wa 2006 hapa nainjoy maisha,anajua mimi nina 23.
😄
 
Kiukweli Natafuta Ajira hii paragraph imeniumiza moyo maana ukweli umeuchana kama ulivyo
 
Kuna jamii na dini fulani mume akiona mke wake amezeeka, mila na desturi zao zinaruhusu mume kuoa mke mwingine binti mbichi, wanamuita kigori. Mke mzee anaridhia kupata msaidizi wa kumpa mzee joto. Mkee mzee anaona hana joto kubwa tena, ni kama anastaafu kufanya tendo la ndoa na kubaki mama wa kaya/boma tu, anaitwa bi mkubwa. Kibinti kinaingia mzigoni kikiwa na nguvu za kumpa mzee joto. Binti huwa hakatai na hachagui mume wa kumuoa na wala jamii yake haimcheki kuwa kaolewa na mzee wakati vijana wapo. Ni kawaida na si ajabu katika jamii hiyo mzee kuoa binti na maisha yanaendelea
 
Kupanga ni kuchagua
 
Rihanna ameachana na Chris B ila amekuja kuzaa na kijana mdogo ambae amemzidi miezi 7 na jamaa Asap anajua kupiga mashine ni anamtungisha mimba juu ya mimba
Wenzetu wapo very strictly kwenye suala la kuzaa. Kule kuzaa ni mipango sio kupiga mashine tu. Hao wakina criss brown, drake na maex wengine nao wana mababy mama
 
Ubaya wa hao wasanii ni ile unajua kabisa fulani na fulani kashaichapa. Imagine Marioo anajua former members wa wasafi pamoja na boss wao tayari washapita kwa baby mama wake
Ndio anakua anajua na yeye anaingia mazima kuichapa na kuijaza ndani kabisa maana anabeba lawama za wote
 
Wadogo machoni mkuu....

Aya tuje kibongobongo au tuseme aiziz k na yule dada vipi
 
Naunga mkono kama kwako sura ni changamoto kubwa kuliko akili, mimi vitoto vilinishinda kwa sababu maisha ya malezi yanahitaji commitment na akili komavu kitu ambacho kwa vitoto vya below 23 vingi unaweza ishia kuwa unafoka tu bure ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…