Kijana awasulubu wazazi wake kwa kumnunulia kanyumba kadogo!

Umleavyo ndivyo wakuavyo, usikute wazazi wake wanaishi kwenye hekalu zaidi ya ikulu, halafu mtoto kanunuliwa kaghorofa kule manzese kwa mfuga kunguru
 
Kuna makuzi mabaya sana wazazi huwa wanawafunda watoto, MF Leo mahakamani kuna jamaa ameshtakiwa na mzazi wake kwa kosa LA kumpiga kisa anataka urithi wa nyumba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom