King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,682
Nani alikwambia CHama chenu kinachaguliwa kwa kura? Nyie mnaingia Madarakani kwa Mgongo wa NEC na Policcm tu,mkiondoa hivyo vyombo kuwapa "BACKUP" nakwambia asubuhi kabisa misa ya kwanza kabla Padre hajasema Neendeeniii kwaaa Amaaaaani Upinzani ushachukua nchi.Ndo wapiga kura lakini kwahiyo nyie mnaojiita wasomi but with z... IQ kura zenu hazihitajiki kumuweka JPM for 2nd Term