Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,340
- 1,493
Kijana amua leo na ukate shauri ingia pori, jichukulie kaeneo kako anza kulima mdogo mdogo. Kuna raha sana ukiwa mkulima alafu msomi.
Usiogope changamoto huwa zipo tu hata maofisini. Uchawi uliopo maofisini hata huku kwenye kilimo upo mzee. Kupanda, kuotesha, kuvuna mpaka kuuza ni uchawi tu kama vile watu maofisini kuomba kazi analoga, interview analoga, akipata kazi analoga, mishahara ya wengine inalogwa ilimradi aone wenzie hawafanikiwi. Wewe njoo na tumaini lako kwa Mungu mbona utatoboa mzee baba.
Hakuna raha hapa duniani kama kuwa mkulima msomi utaishi upendavyo mzee baba.
Njooni tulime mapori hapa bongo ni mengi sana na hayana mwenyewe. Yana rutuba hatari.
NB
Huku porini utapata wanyama wa ziada kama digi digi na nguruwe pori kuna vya kufaidi vijana.
Karibu.
Usiogope changamoto huwa zipo tu hata maofisini. Uchawi uliopo maofisini hata huku kwenye kilimo upo mzee. Kupanda, kuotesha, kuvuna mpaka kuuza ni uchawi tu kama vile watu maofisini kuomba kazi analoga, interview analoga, akipata kazi analoga, mishahara ya wengine inalogwa ilimradi aone wenzie hawafanikiwi. Wewe njoo na tumaini lako kwa Mungu mbona utatoboa mzee baba.
Hakuna raha hapa duniani kama kuwa mkulima msomi utaishi upendavyo mzee baba.
Njooni tulime mapori hapa bongo ni mengi sana na hayana mwenyewe. Yana rutuba hatari.
NB
Huku porini utapata wanyama wa ziada kama digi digi na nguruwe pori kuna vya kufaidi vijana.
Karibu.