Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,146
- 6,053
Kijana mmoja mkazi wa mkoa wa Tanga amefikishwa mahakamani Tanga kwa tuhuma ya kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile mbuzi wa jirani yake huko mkoani Tanga, Hakimu amemnyima dhamana kijana huyo, kwani kosa la ubakaji halina dhamana.
Mnyama au kitoweo hakina haki, aachiliwe jamani. Mbona vijana wengi tu wanabaka nyungunyungu kwa ajili ya punyeto na hawakamatwi wala kuchukuliwa hatua?