Kijana mmoja mkazi wa mkoa wa Tanga amefikishwa mahakamani Tanga kwa tuhuma ya kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile mbuzi wa jirani yake huko mkoani Tanga, Hakimu amemnyima dhamana kijana huyo, kwani kosa la ubakaji halina dhamana.
Kuna watu na viatu..
Mambo mengine yanachekesha halafu yanasikitisha sana! Mimi nahisi huyo mbakaji ana lake jambo sio bure!
Wenye mbuzi valisheni chupi wanyama wenu msiwaache wakitembea uchi namna hiyo, wanaleta matamanio kwa wengine
​hahahaaaa!!kweli domo zege!!domo zege na pesa ya kuhonga na guest vinachangia
Kijana mmoja mkazi wa mkoa wa Tanga amefikishwa mahakamani Tanga kwa tuhuma ya kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile mbuzi wa jirani yake huko mkoani Tanga, Hakimu amemnyima dhamana kijana huyo, kwani kosa la ubakaji halina dhamana.
Da! Yaani kabaka Kitoeo !Kijana mmoja mkazi wa mkoa wa Tanga amefikishwa mahakamani Tanga kwa tuhuma ya kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile mbuzi wa jirani yake huko mkoani Tanga, Hakimu amemnyima dhamana kijana huyo, kwani kosa la ubakaji halina dhamana.
Wanawake wapo million 23 na wanaume wapo million 21 Kati ya Idadi ya Watanzania Milion 44 hivyo wanawake ni Wengi sasa kuliko Wanaume iweje kijana akambake mnyama Mbuzi ?akapimwe Akili kisha mbuzi nayo ichunguzwe Kama umepata gonjwa la Zinaa ! Kisha mbuzi ichinjwe kabsa kuepusha balaa