britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #41
Hiyo mibange mnayovuta ni stimu za kulandukaa,
Kijasho kitakushuka telemka chemkaa
Kijasho kitakushuka telemka chemkaa
Namtafuta Wangu mwenza , anayeweza kwa kucheza tokea mbali anasikikaa, na nonii noniiAkwelina
Muungano ccm na cuf sote tunauliliaCcm na Cuf -Juma Nature
Huyo ndi mfalmekote kaua hakuna alikoharibu ndo mana siweki yoyote hapa. necha muachen kama alivyo
Safi sanaMitaa ya kati -imamu wa basi ft nature ,msela -kr ft nature + ngwair ,tatu bila
Mzee wa busara Kutwa kushinda kwenye bao tuu kazi anabadil mikao tuuu .. Juma Nature kibokoMzee wa busara balaaa tupu
Tunapokuwa masikan masela hatuna kituu sisiHatuna kitu nature aliyoshirikishwa Na rich one