Kiimani zaidi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,396
Reaction score
829,691

Basi msalipo fanyeni hivi...
Mungu wetu si kiziwi kwamba hatasikia sauté yako. ..huhitaji kupayuka wala kupiga kelele... ndio maana unaaswa kwamba utakapo taka kusali funga mlango fanya maombi yako kwa utulivu. ...Na Baba yako aliye sirini atakujazi
 
unastahiri kuitwa mchochezi!!
 
Amen mtumishi wa Mungu.
 
Kupayuka au kupiga kelele maana yake nini????

Anyway asantee kwa Neno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…