mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
"Wenzetu wa CHADEMA wamekuwa wakitoa kauli za kuitaka mahakama kumuachia kiongozi wao, tunapenda kuwaambia kuwa mahakama haingiliwi,waiache ifanye kazi yake ya utoaji wa haki kama kiongozi huyo ameonewa au tuhuma hizo ni za kweli mahakama itasema".
Darmpya
Darmpya