Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Mkuu. Machame siku hizi ni zaidi ya Sumbawanga,
mwanzoni mwa mwaka huu kuna mama mmoja tena ambaye ni mkwe wa rafiki yangu alikamatwa na fuvu la binadamu ndani ya nyumba yake huko maeneo ya Kisereni..
i cant believe this comes from machame, uchawi mkali namna iyo!
Dah... Mungu tuhurumie.
Yaani kama watu hatutamrudia Bwana Yesu tutateswa sana. Kuna Nesi mmoja nae katika jiji la Lusaka kakiri mwenyewe baada ya kubabwa kuwa ni miongoni mwa kundi la wachawi. Na idara yake anayofanyia kazi za kichawi ni katika kupoteza watoto wachanga pindi wanapozaliwa. Sasa fikiria kina mama wazito wanamwamini nesi kuwazalisha huku akiwa ni mkuu wa wachawi matokeo yake ni nini?
.
anasema anawatu zaidi ya arobaini alionao kimazingira!
Jamani nashangazwa sana na hili suala. Mbona ni mara chache sana kusikia vibabu vikikamatwa kwa kupaa, haswa ukizingatia kwamba vigagu wengi ni sisi wakinababa? Kila nikiangalia list ya wachawi waliochomwa moto kule kanda ya Magharibi, 90% ni wakina mama na vibibi, inakuwaje?
Acheni 2 ndugu yangu ameshuhudia live bahati yake ni mwenyekiti wa kijiji aliyemfungia ndani ya kaduka na kuita polisi wananchi wangemuua,ndugu si mfumoni ni mfoni baada tu ya kutoka nshara,mimi cwezi sema afe ingawa ningefurahi sipendi watu wateseke ila kila binadamu ana dhambi lakini kwa rehema za Mungu tunaishi hvyo Mungu mwingi wa huruma na neema ambadilishe kutoka kwenye dhambi yake,
mkuu natumia simu ningekupa ka-like, chukua hata ya kimaandishi "'like".nukta